Uhuni wa DAWASA, Maji hakuna lakini wanaleta bili kubwa kuliko wakati wowote ule

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,498
51,092
Nimechoka mno baada ya DAWASA KIBAHA kunitaarifu bili ya maji.

Kwa muda wa mwezi sasa maji ni shida, Yanatok mara moja ndani ya siku tatu au nne, lakini cha ajabu sasa eti bili imekuja kubwa mara mbili kuliko kipindi maji yanatoka kila siku

Naomba nitume meseji ifuatayo kwa uongozi wa DAWASA

1. Kuna possibility kuwa vijana wenu hawazunguuki kukagua mita bali wanafanya makadirio tu

2.Kuna uwezekano mmeamua kuwatwika mzigo wa gharama wateja wenu wachache walio katika database yenu ili kufidia hasara mliyoipata kwa kutokuuza maji kipindi hiki. Ninasema kuwa huu mchezo kama mnaufanya acheni mara moja, utawapeleka pabaya

Haya mnayofanya ni uhuni mtupu, acheni kubambikia wateja bili zisizo na kichwa wala miguu.

Kipindi hiki cha uhaba wa maji, bili ilipaswa iwe ndogo, siyo kubwa kiasi hiki.

Tunajua kuwa Bei ya Lita 1000 ni takriban shilingi 1680, Sasa unapomchaji mtu shilingi 80000 kipindi hiki cha ukame maana yake katumia lita (80000/1000)x1680 =Lita 134,440

Hizo lita zote 134,440 mtu kazipata wapi na kazitumia saa ngapi kipindi hiki cha ukame?

Yaani kama mtu ana zile Simtank za lita 5000 maana yake eti katumia Tenki hizo 28 katika mwezi huu wa ukame!. ambayo ni wastani wa mtu kutumia Simtank moja la lita 5000 kula siku, Inawezekanaje hii?

Dawasa Acheni huu uhuni wa kubambikizia watu bili feki

Waziri wa maji aione hii!
DAWASA wanaleta uhuni mtupu
 
Wale vijana wahuni nafikri idara ya maji wangekuja na utaratibu mwenye nyumba kila mwezi ajaza namba zile mwenyewe na kutuma kwa system. Hapo hapo atapokea mrejesho wa kiasi anachodaiwa kwa kila tone alilotumia.

Tofauti na hivyo wanapita kwenye average tuu ya bili zako za zamani.
 
Wale vijana wahuni nafikri idara ya maji wangekuja na utaratibu mwenye nyumba kila mwezi ajaza namba zile mwenyewe na kutuma kwa system. Hapo hapo atapokea mrejesho wa kiasi anachodaiwa kwa kila tone alilotumia.

Tofauti na hivyo wanapita kwenye average tuu ya bili zako za zamani.
Kuna haja ya raia kuhakiki namba zao za mita wenyewe ili wajue mwezi uliopita mita iliishia namba fulani na sasa imesoma namba fulani.

Kuna uhuni kwenye kukadiria matumizi, wanainflate bili hawa
 
Kuna haja ya raia kuhakiki namba zao za mita wenyewe ili wajue mwezi uliopita mita iliishia namba fulani na sasa imesoma namba fulani.

Kuna uhuni kwenye kukadiria matumizi, wanainflate bili hawa

Ndio waje na application au code namba ambazo una feed taarifa wewe mwenyewe kuona kiasi gani unadaiwa. Wabaki na kazi ya kutuma text za kukata na kurudi maji
 
Ni kweli wanabambikia, last month walileta bill ya 24units, yaani boza 24 kwa mwezi? nashindwa kuelewa unit 24 zimetumika vipi sipati jibu. Ukienda kusoma ile Mita hata haisomeki maana imejaa ukungu tu.
 
Ni kweli wanabambikia, last month walileta bill ya 24units, yaani boza 24 kwa mwezi? nashindwa kuelewa unit 24 zimetumika vipi sipati jibu. Ukienda kusoma ile Mita hata haisomeki maana imejaa ukungu tu.
Wanacapitalize kwenye imani ya wananchi kuwaamini na sasa wanaabuse imani hiyo

Huu uhuni haukubaliki!
 
Nimechoka mno baada ya DAWASA kunitaarifu bili ya maji.

Kwa muda wa mwezi sasa maji ni shida, Yanatok mara moja ndani ya siku tatu au nne, lakini cha ajabu sasa eti bili imekuja kubwa mara mbili kuliko kipindi maji yanatoka kila siku

Naomba nitume meseji ifuatayo kwa uongozi wa DAWASA

1. Kuna possibility kuwa vijana wenu hawazunguuki kukagua mita bali wanafanya makadirio tu

2.Kuna uwezekano mmeamua kuwatwika mzigo wa gharama wateja wenu wachache walio katika database yenu ili kufidia hasara mliyoipata kwa kutokuuza maji kipindi hiki. Ninasema kuwa huu mchezo kama mnaufanya acheni mara moja, utawapeleka pabaya

Haya mnayofanya ni uhuni mtupu, acheni kubambikia wateja bili zisizo na kichwa wala miguu.

Kipindi hiki cha uhaba wa maji, bili ilipaswa iwe ndogo, siyo kubwa kiasi hiki.

Tunajua kuwa Bei ya Lita 1000 ni takriban shilingi 1680, Sasa unapomchaji mtu shilingi 80000 kipindi hiki cha ukame maana yake katumia lita (80000/1000)x1680 =Lita 134,440

Hizo lita zote 134,440 mtu kazipata wapi na kazitumia saa ngapi kipindi hiki cha ukame?

Yaani kama mtu ana zile Simtank za lita 5000 maana yake eti katumia Tenki hizo 28 katika mwezi huu wa ukame!

Dawasa Acheni huu uhuni wa kubambikizia watu bili feki

Waziri wa maji aione hii!
DAWASA
Inawezekana msomaji alikosea kusoma mita.
 
DUWASA (Dodoma) wakisoma tu mita MESEJI inaingia palepale kwenye simu ukaangalie na ujiridhishe na usomaji wao tena ukiwahi kutoka utamuona hajafika mbali kama una lalamiko unamwita na anakusaidia, ubaya wa Duwasa ni kuwaiga Dawasa kutunyima maji nahisi meneja wao ni mpya katoka Dar tabia za Dawasa anazileta Duwasa sijapenda
 
Nimechoka mno baada ya DAWASA kunitaarifu bili ya maji.

Kwa muda wa mwezi sasa maji ni shida, Yanatok mara moja ndani ya siku tatu au nne, lakini cha ajabu sasa eti bili imekuja kubwa mara mbili kuliko kipindi maji yanatoka kila siku

Naomba nitume meseji ifuatayo kwa uongozi wa DAWASA

1. Kuna possibility kuwa vijana wenu hawazunguuki kukagua mita bali wanafanya makadirio tu

2.Kuna uwezekano mmeamua kuwatwika mzigo wa gharama wateja wenu wachache walio katika database yenu ili kufidia hasara mliyoipata kwa kutokuuza maji kipindi hiki. Ninasema kuwa huu mchezo kama mnaufanya acheni mara moja, utawapeleka pabaya

Haya mnayofanya ni uhuni mtupu, acheni kubambikia wateja bili zisizo na kichwa wala miguu.

Kipindi hiki cha uhaba wa maji, bili ilipaswa iwe ndogo, siyo kubwa kiasi hiki.

Tunajua kuwa Bei ya Lita 1000 ni takriban shilingi 1680, Sasa unapomchaji mtu shilingi 80000 kipindi hiki cha ukame maana yake katumia lita (80000/1000)x1680 =Lita 134,440

Hizo lita zote 134,440 mtu kazipata wapi na kazitumia saa ngapi kipindi hiki cha ukame?

Yaani kama mtu ana zile Simtank za lita 5000 maana yake eti katumia Tenki hizo 28 katika mwezi huu wa ukame!

Dawasa Acheni huu uhuni wa kubambikizia watu bili feki

Waziri wa maji aione hii!
DAWASA wanaleta uhuni mtupu
Wameniletea bili ya Maji ya shilingi shilingi 8335.15 na Maji hayajatoka hivi sasa yapata Mwezi
 
Ni shida sana hawa DAWASA ni wa ovyo sana na sheria msoma mita lazima amshilikishe mwenye nyumba lakini wao wanatazama wenyewe na kusoma mite wenyewe kisha wanatuma bill na kudai kwa fosi sana .... wanatuibia tu
 
Sisi walitujibu Mita ina ukungu Kwa hiyo wanakadiria tukitaka tubadilishe Mita laki na 70.
Ukiangalia Mita inaonekana vema tu
Hao jamaa wanaitaji mbadala af sielewi wananufaika vipi na hizo wrong meter readings sababu hela unalipa kwenye system au kuna namna wanakula na wahasibu?
 
Back
Top Bottom