Uhujumu Uchumi: RC Arusha ataka waliosambaza video ikionyesha barabara mbovu mbugani kukamatwa mara moja

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
WALIOONYESHA UBOVU WA BARABARA NGORONGORO MATATANI…



Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ameagiza polisi kuwasaka na kuwachukulia hatua watu waliotumia Mitandao ya amii kuonesha ubovu wa miundombinu ya barabara ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.

RC Gambo amesema kitendo hicho ni sawa na uhujumu uchumi kwani watu hao wangeweza kutumia njia sahihi kuwasilisha taarifa hizo na si kutumia mitandao ya kijamii.
FB_IMG_1581853094288.jpg
FB_IMG_1581853153751.jpg
 
Uyu si ndiye alikuwa anakili kufanya makosa kuwaweka ndani watumishi wa umma kwamba aliwaweka ndani bila kuwasikiliza.

Hivi kuna muhujumu uchumi zaidi ya ccm na watu wake nchi hii wanaotenga pesa za walipakodi kumunua wabunge na madiwani kutoka upinzani?
 
Uyu si ndiye alikuwa anakili kufanya makosa kuwaweka ndani watumishi wa umma kwama aliwaweka ndani bila kuwasikiliza.

Hivi kuna muhujumu uchumi zaidi ya ccm na watu wake nchi hii wanaotenga pesa za walipakodi kumunua wabunge na madiwani kutoka upinzani?


Mwl J. K. Nyerere alisema mtu akila nyama ya mtu kamwe hawezi kuacha, kwahiyo hapa ndipo nadharia yake inapothibitika wazi
 
Mbona na yeye anavyoongea anaonyesha barabara mbovu au yeye ndio anatakiwa kuwaonyesha watu sio mrusha picha.Uhujumu uchumi unakuwaje
Uhujumu uchumi unakuja pale mwananchi wa kawaida anapojiweka kimbele mbele kuonyesha mambo ambayo sio kipaumbele ,tuna vipaumbele vya msingi,
Kwanini asionyeshe sehemu za muhimu mfano salenda bridge,ubungo interchange na kadhalika
 
Back
Top Bottom