Uholanzi waanza kutishwa.Je nani anafanya haya

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Kama kawaida mambo ya ya mitandao habari hukimbia.Mchana jamaa mwanachama na mwanafunzi anayesoma huko Uhalozi kanipeperushia barua hii nami kidogo nimesita .Nikaona wacha niiilete hapa nanyi mpate kuona na waandishi wa Tanzania waone na hata kama kweli kuna watu wanafanya kazi chafu ya kuzima mawazo ya watu wajue kama huyu anavyo pewa na wengine tumepewa na tuna laani sana kitendo hiki cha kutishiana .

Ukweli ni Huu Kuhusu CCM

Ndugu zangu mimi si mwanachama katika Emaili zenu lakini huwa napatiwa E-maili nyingi mnazo fanya majadiliano kupitia kwa rafiki yangu mmoja. Leo nimeamua kuuwandika ili niwarifu ukwweli juu ya CCM.

CCM intumia njia ya kuwagawa wananchi ili kupata ushindi na hata inapoiba kura inafnya hivyo. Kupitia mbinu hiyo imefanikiwa kuvunja chama cha NCCR Magezu, hivyoviyo ndivyo itakufa CUF na CHADEMA.

NCCR mageuzi walitegewa mtego wakupta majibo kule Moshi. Kwa kupitia majimbo hayo chama hicho kikaitwa chama cha Wachaga.

Mtegu huohua ndiyo unaoa chama cha mzee cheo kwani kinaonekana ni chama cha Wasukuma.

CUF wametegewa majimbo Pemba lakini wanahakikisha hakuna jimbo lolote lile la Bara watakalo pata. Ndiyo mana wametumia nguvu kubwa kule Bukuba, Tunduru Shinynga, Kilwa, Lindi. Lengo nikufanya chama hicho ni cha wapemba. Aidha wamekuwa wakisingizia chama hicho ni cha kisultani na kina lengu lakubagua watu wasio kuwa waislamu. Kada wa CCM Kingunge alithibitisha kauli hii hivi karibuni.

Kwa taarifa yenu CHADAMA itashinda majimbo zaidi 2010 lakini majimbo hayo yote yatakuwa sehemu zabara yaini mbali na maeno yapwani.Maeneo haya yatakuwa ni maeneo yale yano kaliwa na Wakiristo. Wakijaribu kupta wafuasi maeneo ya pwana CHADEMA wataibiwa kura au hata kuawa wagopmbea wao. Lengo ni kukifanya chama hicho ni cha watu wasio na asili ya pwani na vile vile ni chama cha wakirsto.

Huu ndiyo ukweli. Vilevile nipenda kuwaonya nyinyi binafsi na hizi E-maili zenu zitawafikisha mahali pabaya kama hamkua makini.

Jama wanambinu zote.
 
Kuna nini cha ajabu hapo? Kuna vitisho gani humo ndani... Hii ingependeza kuwepo kule kwenye Nyepesi..
 
Kuna nini cha ajabu hapo? Kuna vitisho gani humo ndani... Hii ingependeza kuwepo kule kwenye Nyepesi..

Huu ndiyo ukweli. Vilevile nipenda kuwaonya nyinyi binafsi na hizi E-maili zenu zitawafikisha mahali pabaya kama hamkua makini.

Jama wanambinu zote.



Kwa nini majadiliano ya watu kibao waache wawe hawa wachache watajwe tena kwa private mail ?Kwa nini mtu ujifiche na kutoa onyo ?
 
Huu ndiyo ukweli. Vilevile nipenda kuwaonya nyinyi binafsi na hizi E-maili zenu zitawafikisha mahali pabaya kama hamkua makini.

Jama wanambinu zote.



Kwa nini majadiliano ya watu kibao waache wawe hawa wachache watajwe tena kwa private mail ?Kwa nini mtu ujifiche na kutoa onyo ?


Dah... bado sijakupata mkubwa!
 
Dah... bado sijakupata mkubwa!

Wakuu msiotaka kuelewa ni kwamba kuna zogo hapa .Kuna mtu kaanza kujadili lakini kaacha kuandika katika forum ila kawachagua wachache ambao wanachuana katika mjadala huu .Katoa maoni yake na mwisho pale katoa oyo juu ya majadiliano yao dhidi ya CCM.

Je nime eleweka ?
 
Flag this messageUkweli ni Huu Kuhusu CCMSaturday, May 24, 2008 1:03 AM
From: "Mzalendo Mtanganyika" <mzalendo1@yahoo.com>]ibabhili@yahoo.comN[/email]dugu zangu mimi si mwanachama katika Emaili zenu lakini huwa napatiwa E-maili nyingi mnazo fanya majadiliano kupitia kwa rafiki yangu mmoja. Leo nimeamua kuuwandika ili niwarifu ukwweli juu ya CCM.


Kwa nini majadiliano ya watu kibao waache wawe hawa wachache watajwe tena kwa private mail ?Kwa nini mtu ujifiche na kutoa onyo ?
Ukisoma vizuri hawa jamaa wana mtandao wao wa kujadili issue mbalimbali za Tz na hasa siasa, Huyo anaejiita Mzalendo Mtanganyika ameguswa na mijadala yao na anatoa mawazo yake juu ya CCM,

Kusema hivi ni vitisho sio sahihi kabisa, katika kujadiliana kuna maoni ambayo ni ya kutoa tahadhali na sio kutisha. Hata hivyo ni wewe mwenyewe unayetia chumvi barua hiyo isomeke kama ni ya vitisho ilhali ni ya tahadhali tu
 
Kibungo haya ni mawazo yako .Mtanganyika kwa nini amechagua hawa wachache .Mbona anafuatilia mijadala na kuchagua kusemea pembeni ?
 
Kamanda Lunyungu;
Pengine sina ufahamu wa kutosha katika hili , lkn mie binafsi naona kama ni tahadhali zaidi ya vitisho
 
Hiyo barua ukisoma kwa undani utaona ni fabrications tu. NCCR moshi, CUF pemba mara CHADEMA wakristu in upuuzi.
naomba viwekwe vitu vyenye ukweli na mantiki ilikuvifanyia kazi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom