Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,073
Wateule wa Rais wamekuwa vinara wa kuiba fedha za serikali.
Wakati umefika sasa wa serikali kukamata mali zao bila kujali zilipatikana kwa fedha gani zitaifishwe na kuwa mali za serikali ili kufidia fedha zilizoibiwa.
Ni aibu kwa mteule wa Rais kuwa mwizi kwani kunamshushia hadhi aliyemteua.
Wakati umefika sasa wa serikali kukamata mali zao bila kujali zilipatikana kwa fedha gani zitaifishwe na kuwa mali za serikali ili kufidia fedha zilizoibiwa.
Ni aibu kwa mteule wa Rais kuwa mwizi kwani kunamshushia hadhi aliyemteua.