Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,545
Kwani hatufundishi makanisani na misikitini? wengi wa viongozi wamesoma seminary laKini ndiyo majangili makubwa pamoja na kupitia JKTTuanze na kufundisha SoMo maadili na uzalendo toka nursery hadi chuo Kikuu na iwe lazima..
Then tuende kwenye Katiba itakayosimamia misingi.