Uharibifu wa mazingira kwa mkaa, nashauri bei ya gesi ishushwe

Deghe Mangae

Senior Member
Mar 3, 2020
171
149
Kwa sasa hali ni mbaya sana upande wa mazingira. Wakata mkaa ni shida kubwa sana hasa mkoa wa Pwani tunajiandaa na jangwa baya mno. Endapo hatua za haraka hazitachuliwa idara ya nishati.

Tanzania tuna gas yetu napenda kuishauri serikali. Bei ya gas ishushwe ili kuokoa hali hii au njia mbadala ili tuyatunze mazingira yetu badala ya kutumia nishati ya mkaa hali ni mbaya sana.
 
Nchi nzima mapori yanafyekwa kwa ajili ya mkaa. Pita Barbara Mpya kutoka Singida kwenda Tabora ndio utaona misitu inavyopotea.

Tukiacha mapori na misitu ya Serikali Kuu, kuna mkoa ambo umetenga misitu/pori yake maalumu kwa uhifadhi wa mazingira.?
 
Huko mbeleni kutakuwa na shida kubwa sana zitokanazo na uharibifu wa mazingira.
 
Kwa sasa hali ni mbaya sana upande wa mazingira. Wakata mkaa ni shida kubwa sana hasa mkoa wa Pwani tunajiandaa na jangwa baya mno. Endapo hatua za haraka hazitachuliwa idara ya nishati.

Tanzania tuna gas yetu napenda kuishauri serikali. Bei ya gas ishushwe ili kuokoa hali hii au njia mbadala ili tuyatunze mazingira yetu badala ya kutumia nishati ya mkaa hali ni mbaya sana.
Gesi itolewe bure kabisa, kulinda mazingira!
 
Back
Top Bottom