Uharibifu wa barabara ya Temeke

ZINDAGI

JF-Expert Member
Dec 5, 2015
1,116
1,422
Kwanza napongeza manispaa ya Temeke kwa kututengenezea barabara zetu baada ya kuharibiwa vibaya sana na wenye malori.

Naomba wahusika- Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya na wote wenye mamlaka wapige marufuku haya malori ambayo yanaingia mitaani na kuharibu barabara vibaya sana kama inavyoonyeasha katika hizi picha

IMG_20170110_075138_1.jpg
IMG_20170110_075142.jpg


Barabara hizi sasa zimetengenezwa kwa gharama kubwa hivyo inabidi zilindwe

18922105_455153864835054_5931982204608908044_n.jpg
18952653_455153934835047_4333401615076754918_n.jpg
18952749_455153798168394_2541800078299778319_n.jpg


Naomba wahusika watusikie kwani najua wanapita humu

Naomba kuwasilisha
 

Attachments

  • IMG_20170110_075142.jpg
    IMG_20170110_075142.jpg
    34.2 KB · Views: 33
Kumbuka temeke ndipo ilipo bandari sasa wakapakii ikwiririii?
 
KIPANDE KATI YA PILE NA TEMEKE MWISHO NI KIPANDE KOROFI SANA.PIA ILE BARABARA YA VETA ASEEE NI KOROFI SANA ILE.
 
Hizi sio gari za kubeba container, ni magari ya kubeba consolidated cargo
Kuna maeneo makubwa temeke,waacheni wapaki tu, viwanda vingi viko temeke hayo malori yanakuja kupakia bidhaa zinazozalishwa na viwanda vyetu,wewe ulitakaje?
 
Kuna maeneo makubwa temeke,waacheni wapaki tu, viwanda vingi viko temeke hayo malori yanakuja kupakia bidhaa zinazozalishwa na viwanda vyetu,wewe ulitakaje?
Maeneo na mitaa ni vitu viwili tofauti, elewa somo
 
Sasa wataingiaje kwenye maeneo bila kupita kwenye mitaa?
Ngoja nikueleweshe vizuri
1. Issue hapa nikwamba haya malori yamegeuza baadhi ya mitaa ya Temeke kuwa ni vituo vyao vya KUPAKILIA mizigo, hivyo hayapiti mitaani kuelekea katika " MAENEO" mitaani humo ndio parking station zao kwa ajili ya shughuli hii.
Athari zake kutokana na hilo ni kwamba, uwezo wa barabara hizo kubeba malori haya ni mdogo, hivyo huzibomoa kabisa barabara na kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumiaje wengine.

2. Kutokana na ukubwa wa malori haya, hufunga njia na kusabisha adha kwa wapita njia na watumiaji wengine

3.Kwa kuwa haya ni maeneo ya kuishi watu, hii inazorotesha usalama kwani kuna ajali za kudondokewa na mizigo kwa wapita njia na watoto

4.Kuongezeka kwa magonjwa ya zinaa, ukahaba umeingia mtaani kutokana na mkusanyiko mkubwa wa watu wanaofanya kazi katika malori haya amnao wamekua wachocheaji wa zinaa humo mitaaani

5. Kuzorota kwa elimu, baadhi ya vijana wa mtaani wamejiingiza katika shughuli ya ubebaji mizigo ili wapate pesa na kuacha masomo

Kama hujaona tatizo nipo tayari kuendelea zaido
 
Ngoja nikueleweshe vizuri
1. Issue hapa nikwamba haya malori yameheuza baadhi ya mitaa ya Temeke kuwa ni vituo vyao vya KUPAKILIA mizigo, hivyo hayapiti mitaani kuelekea katika " MAENEO" mitaani humo ndio parking station zao kwa ajili ya shughuli hii.
Athari zake kutokana na hilo ni kwamba, uwezo wa barabara hizo kubeba malori haya ni mdogo, hivyo huzibomoa kabisa barabara na kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumiaje wengine.

2. Kutokana na ukubwa wa malori haya, hugunga njia na kusabisha adha kwa wapiya njia na watumiaji wengine

3.Kwa kuwa haya ni maeneo ya kuishi watu, hii inazorotesha usalama kwani kuna ajali za kudondikewa na mizigo kwa wapita njia na watoto

4.Kuongezeka kwa magonjwa ya zinaa, ukahaba umeingia mtaani kutokana na mkusanyiko mkubwa wa watu wanaofanya kazi katika malori haya amnao wamekua wachicheaji wa zinaa humo mitaaani

5. Kuzorota kwa elimu, baadhi ya vijana wa mtaani wamejiinhiza katika shuhhuli ya ubebaji mizigo ili wapate pesa na kuacha masomo

Kama hujaona tatizo nipo tayari kuendelea zaido
Sasa tatizo lako ni barabara au ukahaba? kama ni ukahaba unaruhusiwa kwenda kutoa neno la mungu. kuhusu barabara suala si malori, tatizo la barabara za temeke hazina ubora.ndiyo maana pille, sudani,tandika mwisho, keko, kila mwaka hali iko hivyo. ndiyo maana pia barabara ya kilwa kwenda mbagala kila mwaka wanafukua fukua!! serikali iangalie hali hiyo
 
Chuki zako tu dhidi ya malori, wanachangia uchumi wa temeke kuanzia wenye nyumba za kulala wageni, nyumba za kupanga, maduka, mama ntilie,kwa ujumla malori haya yanatoa ajira kwa vijana kuanzia ulinzi upakiaji wa mizigo sio jambo baya,masuala ya ukahaba yapo tu kabla hata ya kuzaliwa yesu.
 
Chuki zako tu dhidi ya malori, nyumba nyingi za madereva wa malori wanachangia uchumi wa temeke kuanzia wenye nyumba za kulala wageni, nyumba za kupanga, maduka, mama ntilie,kwa ujumla malori haya yanatoa ajira kwa vijana kuanzia ulinzi upakiaji wa mizigo sio jambo baya,masuala ya ukahaba yapo tu kabla hata ya kuzaliwa yesu.

Pointless
 
Ngoja nikueleweshe vizuri
1. Issue hapa nikwamba haya malori yamegeuza baadhi ya mitaa ya Temeke kuwa ni vituo vyao vya KUPAKILIA mizigo, hivyo hayapiti mitaani kuelekea katika " MAENEO" mitaani humo ndio parking station zao kwa ajili ya shughuli hii.
Athari zake kutokana na hilo ni kwamba, uwezo wa barabara hizo kubeba malori haya ni mdogo, hivyo huzibomoa kabisa barabara na kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumiaje wengine.

2. Kutokana na ukubwa wa malori haya, hufunga njia na kusabisha adha kwa wapita njia na watumiaji wengine

3.Kwa kuwa haya ni maeneo ya kuishi watu, hii inazorotesha usalama kwani kuna ajali za kudondokewa na mizigo kwa wapita njia na watoto

4.Kuongezeka kwa magonjwa ya zinaa, ukahaba umeingia mtaani kutokana na mkusanyiko mkubwa wa watu wanaofanya kazi katika malori haya amnao wamekua wachocheaji wa zinaa humo mitaaani

5. Kuzorota kwa elimu, baadhi ya vijana wa mtaani wamejiingiza katika shughuli ya ubebaji mizigo ili wapate pesa na kuacha masomo

Kama hujaona tatizo nipo tayari kuendelea zaido
mbona unaumia sana kwani ww ndio umetoa gharama za kukarabati hizo barabara waache waharibu zitengemezwe tena
 
mbona unaumia sana kwani ww ndio umetoa gharama za kukarabati hizo barabara waache waharibu zitengemezwe tena
Mimi na wewe ndio tunalipia gharama za hizi barabara, nashangaa huelewi hilo
 
Kwa hyo zisipoharibiwa ndio hutaendelea kulipa kodi?

Tutaendelea kulipa, na hela itakayopatikana itatumika katika sehemu zingine, bado tunasafari ndefu kama bado tunavichwa vyenye kufikiria namna hii
 
Back
Top Bottom