Rwebangira
Member
- Aug 25, 2011
- 21
- 5
Katika hali ya kusikitisha mnara wa kumbukumbu ya Baba wa taifa Mwl Nyerere ulioko katikati ya mji wa Dodoma makao makuu ya nchi umeanza kuharibiwa kwa kubandua vigae(tiles). Tukielekea kusherehekea miaka 50 ya uhuru wa Tz ambao muasisi wake ni baba wa taifa wachache wameanza kuharibu mazingira yanayotunza kumbukumbu yake. Ndio kumuenzi huko?