agala
Member
- Sep 13, 2011
- 57
- 12
Ila tanzania tuko nyuma sana hata provision ya Degree of Online marketing badoo..! kwa mfano wabongo wanajitahidi kutangeneza
system za online marketing lakini vyuoni hiyo course haipo ona michuziblog,mtaa kwa mtaa,dartalk na wengine wengi wanasehemu za kutangaza na na makampuni kama tigo,voda,airtel n.k wanamatangazo ya kutangaza na jigambeads imesimama kati ya hao watu wawili ili kuendesha hiyo process bac ni vyema kuwa na degree coz system zipo.
system za online marketing lakini vyuoni hiyo course haipo ona michuziblog,mtaa kwa mtaa,dartalk na wengine wengi wanasehemu za kutangaza na na makampuni kama tigo,voda,airtel n.k wanamatangazo ya kutangaza na jigambeads imesimama kati ya hao watu wawili ili kuendesha hiyo process bac ni vyema kuwa na degree coz system zipo.