adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 2,885
- 4,381
Tulioshindwa kuielezea Corona hatuna tofauti na Uchawi huu hapa katika karne ya 21.
Mainjinia na nyinyi ni tatizo kubwa. Bora madaktari wanapambana na kirusi kisichoonekana sasa nyinyi hilo daraja linaonekana lakini bado hamuwezi kulijenga vizuri.View attachment 1876355
Tulioshindwa kuielezea Corona hatuna tofauti na Uchawi huu hapa katika karne ya 21.
Mleta mada hajakutana na makajanja ndio ataelewa ufanisi wa hao jamaa zanguMainjinia na nyinyi ni tatizo kubwa. Bora madaktari wanapambana na kirusi kisichoonekana sasa nyinyi hilo daraja linaonekana lakini bado hamuwezi kulijenga vizuri.