Kama kichwa kinavyosomeka,,,kuna taarifa ya kusitisha uhamisho.Sasa kwa wadau wenye mawasiliano na ofisi za Tamisemi mtusaidie kuuliza hili sitisho linawahusu hata waombàji ambào wameshatuma bàrua Tamisemi na ambao waliahidiwa kujibuwa hivi punde?.Mimi binafsi nimekatishwa tamaa kwa sababu tuliahidiwa kujibiwa hivi karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app