Wakuu Habari za Leo?
Kwa anaejua naomba anijuze kuhusu wale wanaotaka kuhama vituo vya kazi katika mkoa mmoja na kwenda vituo vyengine katika mkoa mwengine Hususan kwa Walimu na Hasa uhamisho wa kubadilishana vituo vya kazi.
Vipi process zimeshaanza kushugulikiwa za kupitisha barua Wilayani na Mikoani?
Kwa anaejua naomba anijuze kuhusu wale wanaotaka kuhama vituo vya kazi katika mkoa mmoja na kwenda vituo vyengine katika mkoa mwengine Hususan kwa Walimu na Hasa uhamisho wa kubadilishana vituo vya kazi.
Vipi process zimeshaanza kushugulikiwa za kupitisha barua Wilayani na Mikoani?