Uhamiaji Zanzibar! Please tupeni majibu

GHIBUU

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
4,432
3,006
Haya yaliyonikuta huku ughaibuni, passport yangu imeandikwa nimezaliwa Mjini, passport ya zamani imeindikwa nimezaliwa Zanzibar.

Sasa nalazimika kubadilisha baadhi ya mustakabadhi zangu kutoka Zanzibar to Mjini, yaani place of birth.

Sasa nimelazimika kupeleka cheti cha kuzaliwa ili kubadilisha place of birth, na cheti cha kuzaliwa kimeandikwa nimezaliwa Mnazi Mmoja.

Swali naulizwa umezaliwa Mjini? Ni mji gani huo usiokuwa na jina?
 
Huku ni kujitia ujuaji pasipo na maana!! Fomu kwa ajili ya maombi ya passport inajazwa na mteja mwenyewe hakuna anayemjazia! Wewe ndio umejaza ulipozaliwa na sio uhamiaji!!

Zanzibar ina mkoa uitwao "Mjini Magharibi" una wilaya zenye majina ya MJINI na MAGHARIBI hivyo mjini ni jina la wilaya!!
 
Huku ni kujitia ujuaji pasipo na maana!! Fomu kwa ajili ya maombi ya passport inajazwa na mteja mwenyewe hakuna anayemjazia! Wewe ndio umejaza ulipozaliwa na sio uhamiaji!!

Zanzibar ina mkoa uitwao "Mjini Magharibi" una wilaya zenye majina ya MJINI na MAGHARIBI hivyo mjini ni jina la wilaya!!

Hivi wewe passport yako mpya imeandikwa umezaliwa wapi ? Form nimejaza mwenyewe na najua wapi nimezaliwa, kilicho fanyika wao wanaandika Wilaya na sehemu tulio zaliwa, kwa hio passport zote Zanzibar ni

Places of birth: wilaya mjini magharibi ( Mjini)
Wilaya kusini ( kusini)
Wilaya kaskazini (kaskazini)
Wilaya ya mashariki ( mashariki)

Hizi ni Wilaya tu na sio place of birth ambazo zilihitajika kuandikwa kwenye passport, place of birth ilitakikana iwe kidongoji au kijiji au mji, na kila sehemu hizi zina majina yake.
 
Basi kama hajui haya yote basi sio mzanzibari
Huku ni kujitia ujuaji pasipo na maana!! Fomu kwa ajili ya maombi ya passport inajazwa na mteja mwenyewe hakuna anayemjazia! Wewe ndio umejaza ulipozaliwa na sio uhamiaji!!

Zanzibar ina mkoa uitwao "Mjini Magharibi" una wilaya zenye majina ya MJINI na MAGHARIBI hivyo mjini ni jina la wilaya!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wewe passport yako mpya imeandikwa umezaliwa wapi ? Form nimejaza mwenyewe na najua wapi nimezaliwa, kilicho fanyika wao wanaandika Wilaya na sehemu tulio zaliwa, kwa hio passport zote Zanzibar ni

Places of birth: wilaya mjini magharibi ( Mjini)
Wilaya kusini ( kusini)
Wilaya kaskazini (kaskazini)
Wilaya ya mashariki ( mashariki)

Hizi ni Wilaya tu na sio place of birth ambazo zilihitajika kuandikwa kwenye passport, place of birth ilitakikana iwe kidongoji au kijiji au mji, na kila sehemu hizi zina majina yake.
Ninavyojua mimi place of birth unaandika wilaya uliyozaliwa. Mimi nimeandika wilaya niliyozaliwa na ndivyo ilivyo tangu nipate passport na hata sasa. Pengine wewe mwanzoni ulitumia vitongoji au vijiji. Vituy kama hivi vinatakiwa ufanye simple and clear. Ukisema place of birth ni Dar Es Salaam kila mtu anaelewa na inaondoa usumbufu.
 
Hivi wewe passport yako mpya imeandikwa umezaliwa wapi ? Form nimejaza mwenyewe na najua wapi nimezaliwa, kilicho fanyika wao wanaandika Wilaya na sehemu tulio zaliwa, kwa hio passport zote Zanzibar ni

Places of birth: wilaya mjini magharibi ( Mjini)
Wilaya kusini ( kusini)
Wilaya kaskazini (kaskazini)
Wilaya ya mashariki ( mashariki)

Hizi ni Wilaya tu na sio place of birth ambazo zilihitajika kuandikwa kwenye passport, place of birth ilitakikana iwe kidongoji au kijiji au mji, na kila sehemu hizi zina majina yake.

Ni ujinga kuindosha majina halisi ya sehemu mtu aliyozaliwa na badala yake kutumia majina ya wilaya au mikoa
 
Ninavyojua mimi place of birth unaandika wilaya uliyozaliwa. Mimi nimeandika wilaya niliyozaliwa na ndivyo ilivyo tangu nipate passport na hata sasa. Pengine wewe mwanzoni ulitumia vitongoji au vijiji. Vituy kama hivi vinatakiwa ufanye simple and clear. Ukisema place of birth ni Dar Es Salaam kila mtu anaelewa na inaondoa usumbufu.

Passport zote wanazo toa Zanzibar wanaandika wilaya tu, wewe upo nchi gani ?
 
Passport zote wanazo toa Zanzibar wanaandika wilaya tu, wewe upo nchi gani ?
Ndiyo, nimeeleza kwenye comment yangu kuwa passport yangu imeandikwa wilaya niliyozaliwa. Na ninavyojua ni kuwa pass zote za Tanzania (niko tayari kusahihiswa) ndiyo utaratibu unaotumika. Niko Bongo.
 
Watanganyika wananjama za siku nyingi kutaka kuifuta Zanzibar kwenye ramani ya ulimwengu, hivyo katika ujazaji wa taarifa za muombaji wa pasi mpya za kusafiria, wataalamu wa uhamiaji wameweka majina ya wilaya, ambapo kwa Zanzibar majina ya wilaya yapo hivyo; yaani Wilaya ya Magharibi A, Wilaya ya Magharibi B, Wilaya ya Mjini, Wilaya ya Kusini Unguja, Wilaya ya Kaskazini Unguja pamoja na wilaya ya kati, kwa Pemba kuna Wilaya ya Wete, Wilaya ya Mkoani, Wialaya ya Chake Chake pamoja na Wilaya ya Micheweni.

Kwa mtiririko huu, kwa wale waliozaliwa Wilaya ya Mjini utakuta ndio wanaangukia hapo panapo masuala mingi kwamba mji gani huo usiyo na jina. Hii yote ni fitna tuu ya kuipoteza ID ya Zanzibar kimataifa ila ndio hivyo matokeo yake Idara ya Uhamiaji inaboronga mambo kizombi zombi.

Tujiulize hapo awali kwa nini waliweka Zanzibar? na ni sababu gani iliyowafanya waondoe jina la Zanzibar kama eneo la mahali pa kuzaliwa na kuweka hizo wilaya.

Ila binafsi, nimefurahi waliposhindwa kuifuta Zanzibar pale walipoweka Mamlaka iliyotoa Pasi hiyo, na kujikuta wanalazimika kuandika Zanzibar.

Maasalam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo, nimeeleza kwenye comment yangu kuwa passport yangu imeandikwa wilaya niliyozaliwa. Na ninavyojua ni kuwa pass zote za Tanzania (niko tayari kusahihiswa) ndiyo utaratibu unaotumika. Niko Bongo.

Naam kunajibu lako hapo ushajibiwa
 
Watanganyika wananjama za siku nyingi kutaka kuifuta Zanzibar kwenye ramani ya ulimwengu, hivyo katika ujazaji wa taarifa za muombaji wa pasi mpya za kusafiria, wataalamu wa uhamiaji wameweka majina ya wilaya, ambapo kwa Zanzibar majina ya wilaya yapo hivyo; yaani Wilaya ya Magharibi A, Wilaya ya Magharibi B, Wilaya ya Mjini, Wilaya ya Kusini Unguja, Wilaya ya Kaskazini Unguja pamoja na wilaya ya kati, kwa Pemba kuna Wilaya ya Wete, Wilaya ya Mkoani, Wialaya ya Chake Chake pamoja na Wilaya ya Micheweni.

Kwa mtiririko huu, kwa wale waliozaliwa Wilaya ya Mjini utakuta ndio wanaangukia hapo panapo masuala mingi kwamba mji gani huo usiyo na jina. Hii yote ni fitna tuu ya kuipoteza ID ya Zanzibar kimataifa ila ndio hivyo matokeo yake Idara ya Uhamiaji inaboronga mambo kizombi zombi.

Tujiulize hapo awali kwa nini waliweka Zanzibar? na ni sababu gani iliyowafanya waondoe jina la Zanzibar kama eneo la mahali pa kuzaliwa na kuweka hizo wilaya.

Ila binafsi, nimefurahi waliposhindwa kuifuta Zanzibar pale walipoweka Mamlaka iliyotoa Pasi hiyo, na kujikuta wanalazimika kuandika Zanzibar.

Maasalam

Sent using Jamii Forums mobile app

Umeona boss, wale wa pemba watapata place , mfano wilaya ya wete, kwa hio passport itakuwa wete, sasa tatizo sisi hapa unguja, wilaya ya mjini magharibi, itakuwa ni Mjini, sasa mji gani huo ?
 
Umeona boss, wale wa pemba watapata place , mfano wilaya ya wete, kwa hio passport itakuwa wete, sasa tatizo sisi hapa unguja, wilaya ya mjini magharibi, itakuwa ni Mjini, sasa mji gani huo ?
Mjini Magharibi...

Ndio inajulikana hivyo...ikiandikwa wilaya ya mjini..ni..Mjini Magharibi... wamajumlisha mitaa yote ya wilaya ya mjini magharibi..
Ikiwa shangani ..kikwajuni..rahaleo..miembeni.nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom