.............wewe unatafuta shari sasa....Kiongozi flani hivi mkubwa,yeye kila siku anasafiri kwenda kwao
marekani na kuzunguka dunia,tanzania ni sehemu yake ya kazi ingawa haipendi
mtaje sasa mbn unachelea? Au unamgwaya?Kiongozi flani hivi mkubwa,yeye kila siku anasafiri kwenda kwao marekani na kuzunguka, dunia,tanzania ni sehemu yake ya kazi ingawa haipendi
mie nadhani kuwa mtanzania wala sio ishu kubwa sana.....kuna fomu unajaza baada ya muda unakuwa mtanzania....... labda ungeainisha utanzania upi unaongelea? maana Tanzania ni nchi mpya imezaliwa mwaka 1964Kuna tetesi kuwa baadhi ya viongozi wanasemekana sio watanzania na ndio maana hawana uchungu na hii nchi na wako tayari kuona maamuzi yanapitishwa kwa masilahi yao binafsi.
Nawakilisha.
ni chetuntu bana, baba BWM?
Zitto Kabwe=Uvira, South Kivu, DRCJaman hii mikoa ya pembezon ni utata mtupu hasa huko north western Tz ni hatari,ukiwachimba wanakwambia waliingia Tanzania 1972 kutoka Burundi. Kuna wengine wafadhili wakuu wa magamba. Hata mbunge wa kigoma mujini ni wa nchi jirani.
Hoja haina mvuto! kila mtanzania akifuatilia historia yake.Na kurudi kuliko asiri yake.Hakuna mtu atabaki.
hata christopher Chizza ni wa pande za lumonge BurundiZitto Kabwe=Uvira, South Kivu, DRC
1. Mbowe, baba yake mzazi ni Mzanaki alitokea Burundi.
Pinda...
Makinda...
(appearance zao)
Una maana mzee Aikaeli Mbowe(marehemu) wa pale kijiji cha Nshara ninayemfahamu tangu utotoni au mtu mwingine?. Thibitisha la sivyo utakuwa umelogwa au umetumwa.
Is this Article Help US Politically ??? Or just as USUAL RUMOR MONGERING AS USUAL; WE NEVER SERIOUS...
yaani kwenye masokwe au nyani!!!!!Umekosa, ni kutoka hifadhi ya Gombe
Una akili timamu wewe? hawa wanaitwa wahamiaji haramu, maanake hawana sifa ya uhamiaji, wanakuwaje wazuri? hivi wewe unaweza hamia kenya na uishi bila vibali? ama nawe ni mhamiaji haramu? nchi zote duniani sasa zinarudisha wahamiaji haramu wewe unasema ni uhamiaji haramu ni kitu kizuri! Hawa wanatufundishaje kuwa serious na maisha?