Uhamiaji yaomba wananchi kuwataja Wahamiaji haramu nchini

ninasubiri hoja zenu na mimi nitahitimisha kwa list niliyonayo. lets wait and see
 
ndugu yangu ndalo jifunze kusoma vizuri na kuelewa kabla hujaandika nimezungumzia Utanzania ukabila umetoka wapi. inaelekea mitihani mingi ulifeli si kwa kutofahamu bali kwa kutoelewa maswali

Hii nchi hatuna historia ya watu kuulizana wametoka nchi gani, inamaanisha wewe sio Mtanzania kwakua watanzania hatuna historia ya kuulizana utaifa! Au wewe ni ofisa wa uhamiaji?
 
Mtikila alisema Rais gani vile wa muungano kuwa sio Mtanzania? bali anatoka nchi jirani ya kule kusini
 
Kama Mwinyi, Shein, Bilali, Mkapa, A.Salim, Al Noor Kasum, Kawawa, Wasira, Warioba, Nyerere na wengine wengi waliozaliwa kabla ya 1964 hawakuwa watanzania (walikuwa watanganyika) lakini bado walishika madaraka makubwa kuna ubaya gani kwa mkulo, Kingwangala na wengine kuwa viongozi. Uzalendo sio tatizo tatizo ni ufisadi na udikteta.
 
Kiongozi flani hivi mkubwa,yeye kila siku anasafiri kwenda kwao
marekani na kuzunguka dunia,tanzania ni sehemu yake ya kazi ingawa haipendi


Speaker mtu mzima nimeshakusoma si yule yule mwanetu
 
Andrew CHENGE na Joseph MUNGAI hawa ni wakikuyu wa Othaya,yesu na maria.Majina yao.
 
ndio maana kila mgeni anajipatia atakacho, au!?
Hii nchi hatuna historia ya watu kuulizana wametoka nchi gani, inamaanisha wewe sio Mtanzania kwakua watanzania hatuna historia ya kuulizana utaifa! Au wewe ni ofisa wa uhamiaji?
 
Naona daliliza kuishiwa hoja kwa baadhi ya members sasa!


PJ kama kuhoji uhalali wa utaifa wa mtu ni kokosa hoja basi wewe ndio hauna hoja kabisa. au hoja mpaka niamndike kama za mwanakijiji?
 
1. Mbowe, baba yake mzazi ni Mzanaki alitokea Burundi.

Una maana mzee Aikaeli Mbowe(marehemu) wa pale kijiji cha Nshara ninayemfahamu tangu utotoni au mtu mwingine?. Thibitisha la sivyo utakuwa umelogwa au umetumwa.
 
kweli!? ...lakini ni Mtanzania?
Hakuna Mtanzania hapo. Wote ni Watanganyika. Mimi nilisikia mahala kuwa baba ya JK alikuwa DC enzi hizo. Akakutana na mama ya Membe huko walikokutana. Akazaliwa Membe. Akatelekezwa na DC Mrisho Kikwete. Wamisionari wakatoliki wakamchukua kumlea. Membe akasoma vizuri. Akaingia UwT. Sasa yuko pale alipo.
 
Una maana mzee Aikaeli Mbowe(marehemu) wa pale kijiji cha Nshara ninayemfahamu tangu utotoni au mtu mwingine?. Thibitisha la sivyo utakuwa umelogwa au umetumwa.
Inasemwa kuwa Freeman eti ni mtoto wa Julius! Maneno ni mengi mtaa huu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom