steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,092
- 1,433
Kulikuwa na MALALAMIKO kuhusu vigezo vya kupata passport MALALAMIko mengi yalikuwa kwenye kipengele kilichokuwa kinasema.
Mwombaji anatakiwa kuwa na uthibitisho wa safari yake ili apewe passport lakini nimetembelea tovuti yao leo nimeona kigezo hicho kimetolewa.
Je, ni kweli au mimi sijaelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwombaji anatakiwa kuwa na uthibitisho wa safari yake ili apewe passport lakini nimetembelea tovuti yao leo nimeona kigezo hicho kimetolewa.
Je, ni kweli au mimi sijaelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app