Katika HALI isiyo yakawaida Boss wa Media for International Development Tanzania, Counrty director "John Riber" ametoa hongo ya dola $75,000 na Wazimbabwe 2 walirudishwa kazini mara moja baada ya Afisa uhamiaji kupokea kitita hicho cha dola.JOHN aliofukuzwa Uganda kwa unyanyasaji wa jinsia walijidai kuwa "untouchable" hata mtoto wa boss Jordan amekuwa akitoa maneno ya kashfa kwa staff wote bila adabu na baba yake John akimuunga mkono unyanyasaji huo wa kila siku. Wazimbabwe hao wanaishi nchini bila kibali cha kazi kila mara uhamiaji wakija wanavuta ila jana Juni 7, 2012 Alhamisi waliwakamata kabisa ila baada ya hongo hiyo basi walirejeshwa kazini mara moja
Mh. Waziri Nchimbi tusaidie
Mh. Waziri Nchimbi tusaidie