G.25
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 1,709
- 1,809
Mkuu unakwama wapi!?
Ukiona watu wanajificha na hawataki wajulikane unashindwa vp kugundua kama ni wahalifu!?
Wanavunja sheria, wanakwepa kodi, walimu wanaowatumia kufundisha watoto wetu, hatuna taarifa zao, hawalipi michango yao bima/pension nk.
"Mi nafikiri ni wakati muhimu sasa kuangalia ikiwezekana waajiri kama hawa washtakiwe kwa sheria yetu ya utakatishaji pesa"
Sent using Redmi Y2
Ukiona watu wanajificha na hawataki wajulikane unashindwa vp kugundua kama ni wahalifu!?
Wanavunja sheria, wanakwepa kodi, walimu wanaowatumia kufundisha watoto wetu, hatuna taarifa zao, hawalipi michango yao bima/pension nk.
"Mi nafikiri ni wakati muhimu sasa kuangalia ikiwezekana waajiri kama hawa washtakiwe kwa sheria yetu ya utakatishaji pesa"
Walimu acheni majungu.kiingereza hamjui mnawachongea walimu wenzenu wa nje wasifundishe.Hivi bila kiingereza kijana atafanya kitu gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Redmi Y2