Kazi zinazoweza kufanywa na Mtanzania wageni hawaruhusiwi kufanya. Inatokea endapo hakuna mzawa wa kufanya hiyo kazi ndipo mgeni anaruhusiwa kwa kibali maalumu kutoka uhamiaji kwa muda maalumu.
Kupata kazi sio issue mzee baba, maana hata kugombea urais unagombea tu bila kufahamu kiingilish.Walimu acheni majungu.kiingereza hamjui mnawachongea walimu wenzenu wa nje wasifundishe.Hivi bila kiingereza kijana atafanya kitu gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha ujinga,Ndalichako ni Prof. na anajua kingereza cha kuwasilisha utafiti wake na kuelewekaWalimu acheni majungu.kiingereza hamjui mnawachongea walimu wenzenu wa nje wasifundishe.Hivi bila kiingereza kijana atafanya kitu gani?
Sent using Jamii Forums mobile app