ofisi za uhamiaji pale kurasini. Kama huna connection hutoboi 😤😤😤..hata ukiwa na connection ukitoka pale kama hauna ugonjwa wa moyo, basi we ni shujaa.
bado kuna taasisis nyingi za serikali utendaji ni mbovu sana.wakati wa JPM kulikuwa na mabadiriko mkubwa, kwa sasa tunarudi kule kule.
serikali ya sasa ina kazi ya kutumia nguvu kuleta mabadiriko kuliko kutumia nguvu kwa kina Mbowe, ambao kilio chao ni kile kile cha kuleta mabadariko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.