Uhamiaji Dar-es-Salaam mpo makini. Boresheni na mikoani

Elvis Legacy

JF-Expert Member
Aug 10, 2017
3,379
4,703
Siku hizi mfumo wa uhamiaji umerahisisha upatikanaji wa passport. Unafanya application on-line.

Document za muhimu ni;
1.Kitambulisho cha NIDA au namba na online copy.
2.Cheti chako cha kuzaliwa.
3.Taarifa za wazazi (Baba na Mama)
3.Cheti cha kuzaliwa Mama (Au kiapo)
4.Barua ya utambulisho serikali ya mtaa au mtendaji kata.
5. Picha moja ya passport size photo (soft copy)

Hakikisha una-scan vyote hivyo.

Una-apply online. Mfumo ni rahisi na rafiki sana. Ukifanikisha utalipia Tsh.20,000.

Kisha uta-download fomu yenye taarifa zote baada ya kulipia.

Kuna sehemu ya wadhamini wawili, utatafuta wakujazie. Kuna sehemu ya mwanasheria na muhuri. Utatafuta akusainie. Au nenda pale ofisini zao wapo, watakusaidia.

Kisha ambatanisha na hard copy ya vielelezo vyote hapo juu isipokuwa picha ya passport size photo.

NB: Kama kuna ushahidi wa safari kama mwaliko, barua au ticket ambatanisha pia. Kama ni kwa ajili ya biashara ambatanisha TIN number na leseni ya biashara. Hapa inategemea na maombi yako ya passport.

Ukifika ofisi za uhamiaji (HQ), Utakutana na maafisa uhamiaji watajiridhisha na taarifa zako. Wanaweza kukuuliza maswali kadhaa kijiridhisha. Viambatanisho zaidi vitahitajika kama maelezo yako hayajitoshelezi au kama fomu yako ina taarifa hazipo sawa.

Kama kila kitu kipo sawa. Utapewa control number, kisha utalipia 130,000.

Baada ya ku-approve malipo. Utaenda kitengo cha kupiga picha na kusaini kwa alama za vidole. Kisha utapewa tarehe ya kufata passport yako wizara ya mambo ya ndani.

Passport inapatikana ndani ya wiki mbili kama taratibu zote hapo juu umekamilisha.

Vinginevyo utabaki unalaumu tu kuwa kuna ubabaishaji, wakati wewe mwenyewe ndio tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi mfumo wa uhamiaji umerahisisha upatikanaji wa passport. Unafanya application on-line.

Document za muhimu ni;
1.Kitambulisho cha NIDA au namba na online copy.
2.Cheti chako cha kuzaliwa.
3.Taarifa za wazazi (Baba na Mama)
3.Cheti cha kuzaliwa Mama (Au kiapo)
4.Barua ya utambulisho serikali ya mtaa au mtendaji kata.
5. Picha moja ya passport size photo (soft copy)

Hakikisha una-scan vyote hivyo.

Una-apply online. Mfumo ni rahisi na rafiki sana. Ukifanikisha utalipia Tsh.20,000.

Kisha uta-download fomu yenye taarifa zote baada ya kulipia.

Kuna sehemu ya wadhamini wawili, utatafuta wakujazie. Kuna sehemu ya mwanasheria na muhuri. Utatafuta akusainie. Au nenda pale ofisini zao wapo, watakusaidia.

Kisha ambatanisha na hard copy ya vielelezo vyote hapo juu isipokuwa picha ya passport size photo.

NB: Kama kuna ushahidi wa safari kama mwaliko, barua au ticket ambatanisha pia. Kama ni kwa ajili ya biashara ambatanisha TIN number na leseni ya biashara. Hapa inategemea na maombi yako ya passport.

Ukifika ofisi za uhamiaji (HQ), Utakutana na maafisa uhamiaji watajiridhisha na taarifa zako. Wanaweza kukuuliza maswali kadhaa kijiridhisha. Viambatanisho zaidi vitahitajika kama maelezo yako hayajitoshelezi au kama fomu yako ina taarifa hazipo sawa.

Kama kila kitu kipo sawa. Utapewa control number, kisha utalipia 130,000.

Baada ya ku-approve malipo. Utaenda kitengo cha kupiga picha na kusaini kwa alama za vidole. Kisha utapewa tarehe ya kufata passport yako wizara ya mambo ya ndani.

Passport inapatikana ndani ya wiki mbili kama taratibu zote hapo juu umekamilisha.

Vinginevyo utabaki unalaumu tu kuwa kuna ubabaishaji, wakati wewe mwenyewe ndio tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilifikiri kuna jipya tokea September 2019 kumbe yale yale. Nilisumbuka pale makao makuu mpaka sina hamu pamoja na kuwa na vigezo na barua zote za safari ya haraka sikupewa kipaumbele na ikabidi niahirishe safari baada ya kulipa 500,000 kubadili ticket ya ndege.

Sijawahi ona watu ambao ni unprofessional kama wale pale Makao Makuu Uhamiaji Dar! Inachukua nusu saa kumsikiliza mtu mmoja na kuna foleni unasimama masaa 8! Nilipotoka pale nilijihisi kama nimetoka jela baada ya miaka 5.

Pia kwanini mtu mwenye kitambulisho cha taifa anatakiwa tena kumwona mwanasheria, na kuwa na mashahidi 2 wakati anatafuta passport? Kama document za kusafiri ninazo na kitambulisho ninacho, mwanasheria na mashahidi wanini?

Pia kwanini mtu hapati passport hadi awe na uthibitisho wa safari? Kwani passport ni hati ya kusafiria ambayo ni vizuri mtu ukawa nayo pindi dharura ya safari ikitokea usipate taabu kwa mfumo wetu hauwezi kumpa mtu passport ndani ya siku moja itachukua angalau wiki kupata.

Uhamiaji bado mnahitaji kurekebisha tafadhali kweli ni mateso makubwa mno na usumbufu wa ajabu kupata passport!
 
Nilifikiri kuna jipya tokea September 2019 kumbe yale yale. Nilisumbuka pale makao makuu mpaka sina hamu pamoja na kuwa na vigezo na barua zote za safari ya haraka sikupewa kipaumbele na ikabidi niahirishe safari baada ya kulipa 500,000 kubadili ticket ya ndege.

Sijawahi ona watu ambao ni unprofessional kama wale pale Makao Makuu Uhamiaji Dar! Inachukua nusu saa kumsikiliza mtu mmoja na kuna foleni unasimama masaa 8! Nilipotoka pale nilijihisi kama nimetoka jela baada ya miaka 5.

Pia kwanini mtu mwenye kitambulisho cha taifa anatakiwa tena kumwona mwanasheria, na kuwa na mashahidi 2 wakati anatafuta passport? Kama document za kusafiri ninazo na kitambulisho ninacho, mwanasheria na mashahidi wanini?

Pia kwanini mtu hapati passport hadi awe na uthibitisho wa safari? Kwani passport ni hati ya kusafiria ambayo ni vizuri mtu ukawa nayo pindi dharura ya safari ikitokea usipate taabu kwa mfumo wetu hauwezi kumpa mtu passport ndani ya siku moja itachukua angalau wiki kupata.

Uhamiaji bado mnahitaji kurekebisha tafadhali kweli ni mateso makubwa mbo na usumbufu wa ajabu kupata passport!
Kweli mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milolongo kwenye ofisi za umma ni mateso wiki ya pili Sasa nahangaika nao tu
 
Siku hizi mfumo wa uhamiaji umerahisisha upatikanaji wa passport. Unafanya application on-line.

Document za muhimu ni;
1.Kitambulisho cha NIDA au namba na online copy.
2.Cheti chako cha kuzaliwa.
3.Taarifa za wazazi (Baba na Mama)
3.Cheti cha kuzaliwa Mama (Au kiapo)
4.Barua ya utambulisho serikali ya mtaa au mtendaji kata.
5. Picha moja ya passport size photo (soft copy)

Hakikisha una-scan vyote hivyo.

Una-apply online. Mfumo ni rahisi na rafiki sana. Ukifanikisha utalipia Tsh.20,000.

Kisha uta-download fomu yenye taarifa zote baada ya kulipia.

Kuna sehemu ya wadhamini wawili, utatafuta wakujazie. Kuna sehemu ya mwanasheria na muhuri. Utatafuta akusainie. Au nenda pale ofisini zao wapo, watakusaidia.

Kisha ambatanisha na hard copy ya vielelezo vyote hapo juu isipokuwa picha ya passport size photo.

NB: Kama kuna ushahidi wa safari kama mwaliko, barua au ticket ambatanisha pia. Kama ni kwa ajili ya biashara ambatanisha TIN number na leseni ya biashara. Hapa inategemea na maombi yako ya passport.

Ukifika ofisi za uhamiaji (HQ), Utakutana na maafisa uhamiaji watajiridhisha na taarifa zako. Wanaweza kukuuliza maswali kadhaa kijiridhisha. Viambatanisho zaidi vitahitajika kama maelezo yako hayajitoshelezi au kama fomu yako ina taarifa hazipo sawa.

Kama kila kitu kipo sawa. Utapewa control number, kisha utalipia 130,000.

Baada ya ku-approve malipo. Utaenda kitengo cha kupiga picha na kusaini kwa alama za vidole. Kisha utapewa tarehe ya kufata passport yako wizara ya mambo ya ndani.

Passport inapatikana ndani ya wiki mbili kama taratibu zote hapo juu umekamilisha.

Vinginevyo utabaki unalaumu tu kuwa kuna ubabaishaji, wakati wewe mwenyewe ndio tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa uhamiaji sina hamu nao tena, hasa hapo Kurasini ni wasumbufu balaa. Yaani sio rafiki kabisa kwa raia wa kawaida.
Ni taasisi mbovu sana , nilisumbuliwa sana mwaka juzi utadhani si raia. Kuna watu wameajiriwa hii nchi ila ni matatizo matupu. Niliamua kupitia njia za panya nikaenda kuchukulia Zanzibar, nilipataje uraia wa Zanzibar wakati mimi mtanganyika ni siri yangu. Inshort hao jamaa wa Uhamiaji Kurasini hawana utu.
 
Nilifikiri kuna jipya tokea September 2019 kumbe yale yale. Nilisumbuka pale makao makuu mpaka sina hamu pamoja na kuwa na vigezo na barua zote za safari ya haraka sikupewa kipaumbele na ikabidi niahirishe safari baada ya kulipa 500,000 kubadili ticket ya ndege.

Sijawahi ona watu ambao ni unprofessional kama wale pale Makao Makuu Uhamiaji Dar! Inachukua nusu saa kumsikiliza mtu mmoja na kuna foleni unasimama masaa 8! Nilipotoka pale nilijihisi kama nimetoka jela baada ya miaka 5.

Pia kwanini mtu mwenye kitambulisho cha taifa anatakiwa tena kumwona mwanasheria, na kuwa na mashahidi 2 wakati anatafuta passport? Kama document za kusafiri ninazo na kitambulisho ninacho, mwanasheria na mashahidi wanini?

Pia kwanini mtu hapati passport hadi awe na uthibitisho wa safari? Kwani passport ni hati ya kusafiria ambayo ni vizuri mtu ukawa nayo pindi dharura ya safari ikitokea usipate taabu kwa mfumo wetu hauwezi kumpa mtu passport ndani ya siku moja itachukua angalau wiki kupata.

Uhamiaji bado mnahitaji kurekebisha tafadhali kweli ni mateso makubwa mno na usumbufu wa ajabu kupata passport!
Hao uhamiaji sina hamu nao aisee.
 
Naomba kuliza mm tyr nishajazaa form kila kitu na nimeeka zumuni la kuomba passport ni kwenda kibiashara Sasa nikienda uhamiaji kuna ulazima wa kuwa na tin namba au leseni ya biashara au nende na form tu kama form
 
Naomba kuliza mm tyr nishajazaa form kila kitu na nimeeka zumuni la kuomba passport ni kwenda kibiashara Sasa nikienda uhamiaji kuna ulazima wa kuwa na tin namba au leseni ya biashara au nende na form tu kama form
Tin Namba na Leseni ya Biashara ndio vinakutambulisha wewe kama ni mfanyabiashara lazima uwe navyo ni muhimu
 
Tin Namba na Leseni ya Biashara ndio vinakutambulisha wewe kama ni mfanyabiashara lazima uwe navyo ni muhimu
Sasa kama sina.ivyo nafanyaje au nichukue kile kitambulisho cha mjasiriamali mdogo kile cha 20000 form zenjewe nimejaza leo Sasa hapa nawaza
 
Naomba kuliza mm tyr nishajazaa form kila kitu na nimeeka zumuni la kuomba passport ni kwenda kibiashara Sasa nikienda uhamiaji kuna ulazima wa kuwa na tin namba au leseni ya biashara au nende na form tu kama form
Next time andika unaenda kutalii au mapunziko. Kuhusu tin tafuta mtu mnaetumia jina akupe kopi au kama una tin non-business weka tu
Yangu nilitumia yenye ubini unaofanana(ndugu) ila nadhani itategemea na counter utakapoenda. Dirisha langu afisa alitaka tu TIN number. Within a day nilipigwa picha after 7 weekdays nikaenda polisi kuchukua.
 
Next time andika unaenda kutalii au mapunziko. Kuhusu tin tafuta mtu mnaetumia jina akupe kopi au kama una tin non-business weka tu
Yangu nilitumia yenye ubini unaofanana(ndugu) ila nadhani itategemea na counter utakapoenda. Dirisha langu afisa alitaka tu TIN number. Within a day nilipigwa picha after 7 weekdays nikaenda polisi kuchukua.
Au kitambulisho cha mjasiriamali
 
Back
Top Bottom