KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,759
- 2,998
Hapo sawa. Ila umeongeza maneno"Akiongozwa na roho mtakatifu". Umewezaje mkuu kujua kuwa aliyasema hayo Akiongozwa na roho mtakatifu?.so
Hayo maneno aliyasema mtume Paul akiongozwa na roho mtakatifu (MUNGU),
Samahani lakini.
Sent using Jamii Forums mobile app