Uhalisi wa matukio yanayo igizwa kwenye filamu

prumpeti

JF-Expert Member
Feb 28, 2022
1,021
2,279
Huwa najiuliza sana hizi filamu zinazotengezwa kuonesha matukio tatakayo tokea miaka ya baadae ni hadithi tu za kufikirika au ni vitu ambavyo wanavijua vitakuja tokea?

Ukiangalia pichaa hii ipo ndani ya filamu inayoitwa Maze Runner Death Cure ilitoka mwaka 2018 watu wanaonekana wakitembea mitaani wakiwa wamefunika pua na mdomo kwa mask ili kujilinda na virus ambao kwenye filamu hii walikuwa wanaitwa FLARE VIRUS.

mwaka 2019 kirusi cha Corona kiligunduliwa huko China ambapo karibia maeneo yote Duniani watu walionekana wakiwa wamefunika pua kwa mask...
Capture.PNG
Capture.PNG
 
Huwa najiuliza sana hizi filamu zinazotengezwa kuonesha matukio tatakayo tokea miaka ya baadae ni hadithi tu za kufikirika au ni vitu ambavyo wanavijua vitakuja tokea?

Ukiangalia pichaa hii ipo ndani ya filamu inayoitwa Maze Runner Death Cure ilitoka mwaka 2018 watu wanaonekana wakitembea mitaani wakiwa wamefunika pua na mdomo kwa mask ili kujilinda na virus ambao kwenye filamu hii walikuwa wanaitwa FLARE VIRUS.

mwaka 2019 kirusi cha Corona kiligunduliwa huko China ambapo karibia maeneo yote Duniani watu walionekana wakiwa wamefunika pua kwa mask...View attachment 2181837View attachment 2181839
Kirusi cha Corona cha awali (si hiki cha sasa) kilikuwepo China tangu mwaka 2002. Watu walivaa masks sana huko.

Isitoshe Influenza virus iliua mamilioni ya watu mwaka 1918.

Kwa hivyo, haya mambo ukiyafuatilia utajua yapo n yanajirudia.

Unaweza kutabiri kwamba kutatokea pandemic lingine, kama unavyoweza kutabiri jua litachomoza kesho.
 
Uzuri wa film makers wa hollwoody ni watu wasomi na ni researcher wazuri .. na ndio maana hata film zao zinaweza kuchukua muda kutengenezwa
 
Miongoni mwa matukio ni yale ambayo tayari yamekwisha tokea zamani ingawa hayafahamiki sana na dunia.

Ila, mengine ni ya kutunga tu! Mfano; zombie apocalypse, vampire apocalypse, alien invasion n.k.
 
Hachana na hizo movie tafuta cartoon ya THE SIMPSONS hii cartoon imetabiri mambo mengi sana kulipukiwa kwa majengo ya marekani 9/11,
Trump kuwa rahisi wa marekani, urusi kuivamia Ukraine na matukio mengi sana
Ukiwa na episodes nyingi za satire kama The Simpsons, kati ya hizo nyingine zitakuja kuwa kweli.

Zikija kuwa kweli chache, watu watazimulika hizo na kusema ni utabiri, wakisahau nyingine nyiingi ambazo labda walisema Romney atakuwa rais.

Huo si utabiri, hiyo ni probability.

Utabiri unatakiwa uwe specific katika time na circumstances.

Yani useme Trump atashinda uchaguzi wa 2016, kwa asilimia kadhaa, atashinda majimbo fulani na majimbo fulani hatashinda.
 
Vitu vitakavyokuja kutokea... Ni kama vile unaambiwa save the date...
 
Hachana na hizo movie tafuta cartoon ya THE SIMPSONS hii cartoon imetabiri mambo mengi sana kulipukiwa kwa majengo ya marekani 9/11,
Trump kuwa rahisi wa marekani, urusi kuivamia Ukraine na matukio mengi sana
Bila Shaka hizi vita zinazotokea zinapangwa
 
Back
Top Bottom