Uhalali wa ukahaba

Mhh hili la kuhalalisha ukahaba si wazo baya,lakini si wazo zuri kwa watanganyika siisemei zanzibar maana nao siku hizi wanapenda kujisemea! kuhalalisha ukahaba ni unyanyasaji wa kijinsia na unapaswa kulaaniwa kwa nguvu zote na watetezi wa masuala ya jinsia.

Kipato kinachopatikana kwa kujiiza kamwe hakiwezi kuitwa kipato halali na hivyo kupigwa kodi katika nchi hii!
 
^^ cheki bandiko la Darwin hapo juu..

Ni nini tofauti ya Mwanamke na Mwanume wenye kufanya biashara ya kujiuza...!?

Je Taifa la Tanzania si moja ya mataifa yenye kupigania Haki sawa kwa wote? Vipi Leo kuwatenganisha ndugu hawa pacha wenye kufanya biashara ya kujiuza?
 
Ni nini tofauti ya Mwanamke na Mwanume wenye kufanya biashara ya kujiuza...!?

Je Taifa la Tanzania si moja ya mataifa yenye kupigania Haki sawa kwa wote? Vipi Leo kuwatenganisha ndugu hawa pacha wenye kufanya biashara ya kujiuza?

Ukahaba ni biashara ya wanawake kuuza miili yao, kwa wanaume. Wakati ushoga ni wapenzi wa njisia moja, wanaweza kuwa ni wanawake kwa wanawake au wanaume kwa wanaume.. Hawa bado kuingizwa kwenye ukahaba.
 
Last edited:
Nyie watu......kama ikihalalishwa watoto wenu,dada zenu wakijiunga na biashara hii mko tayari?
 
Ukahaba ni biashara ya wanawake kuuza miili yao, kwa wanaume. Wakati ushoga ni wapenzi wa njisia moja, wanaweza kuwa ni wanawake kwa wanawake au wanaume kwa wanaume.. Hawa bado kuingizwa kwenye ukahaba.

Zote ni Biashara za kuuza Miili. Na zote ni kinyume na maadili ya Watanzania.

Kwani si kila ngoma yenye kupigwa na nchi za kimagharibi nasisi tucheze. Tusamini maadili yetu. Waafrika hatuna asili ya ukahaba na ushoga.

Tusichoke kupiga vita biashara hizi Haram. Japo kuwa wanasema kuwa serikali haina imani na dini yoyote lakini wenye kuiongoza hiyo serikali ni waumini wazuri waa dini zao.

Sizani kama watanzania wako tayari kuona janga la biashara ya ukahaba, inapewa leseni na kuwa biashara rasmi.

Hivi Watanzania wanashindwa kutatua tatizo la ukahaba kiasi ya kwamba wanapendekeza uhalalishwe?

Je tabia ambazo zinaonekana kuwa ni ngumu kuziondoa kwenye jamii yetu basi ni bora kuzihalalisha?

Tusipo angalia tutaangukia maala tukashindwa kunyanyuka na hatupata mtu wa kutunyayua.
 
Biashara ya ukahaba ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo, like it or not, legal or illegal- its there to stay! Asilimia kubwa ya wanaokamatwa katika kupiga vita hii biashara ni makahaba wenyewe lakini 'wateja' na 'mapimps' amabao ndio wadau wakubwa kwenye hii biashara wanaendelea kupeta tu. Isitoshe kuna wanawake hii ndio njia pekee ya kujipatia kipato chao na hawafanyi hivyo kwa kuwa wanapenda, ni kwa kuwa tu hawana namna nyingine ya kujiingizia kipato!

Hebu mfikirie mwanadada mdogo hapo bongo aliyepata mimba na kuzaa baada ya kubakwa na baba yake wa kambo, as a result she had to flee home kwa kuwa mama yake alikuwa hamuelewi na anaamini kile anachoambiwa na mumuwe, hana msaada wowote toka serekalini au kwa ndugu au marafiki, ukahaba ndio njia pekee inayomuwezesha kumlea mtoto wake. Wakati akijiuza huko mtaani kuna anakuatana kila aina ya abuse and harassment kwa wateja na hata wale wasiokuwa wateja! Kuna wanaompiga, kuna wanaomtukana, kuna 'wanaomchapa' na kukimbia, kuna wanaomlazimisha wapige kavukavu, wengine wanataka tigo, etc. Kajikuta ameingia katika matumizi ya madawa ya kulevya kutokana na kazi na mazingira ambayo anafanya kazi yake. Surely someone out there somehow can do something to protect this girl and many others.

Nakubaliana na Muheshimiwa Diwani- we need to legalise it and tax it lakini kwa kuwa hela itakayoingia serekalini itakuwa machoni kwa wengi ni 'chafu' basi hela hiyo hiyo itumike kuanzisha miradi ambayo itawatoa wasichana wanaojiuza kwenye biashara hiyo na kufanya shughuli nyingine ili kujipatia kipato. Kuhalilisha biashara hii pia kutawaondoa machangudoa barabarani na kutupunguzia kero sisi tusiokuwa wateja! tutakuwa tumetunza mazingira pia kwa kuwa condom zilizotumika hazitakuwa zikionekana zimezagaa mitaa (kinondoni makaburini ni mfano hai). Na kubwa zaidi dada zetu hawa watakuwa at less risk ya abuse na harassment. Maambukizi ya magonjwa ya zinaa pia yanaweza kupungua kwa kiasi kikubwa kwa kuwa, kama ilivyo kwenye nchi ambazo hii biashara ni legal, wasichana wanaojiuza hufanyiwa regular mandatory health checks. Hata self esteem yao pia itakuwa iko juu, tofauti ni kubwa sana kwa wanaojiuzia makaburini na wale wanaojiuzia ndani ya nyumba zao.

Nimeshasema hapa kuwa maendeleo sio ujenzi wa barabara, shule na zahanati tu, lets think about the well being of watu kama hawa machanguduo na namna ambavyo tunaweza kuboresha maisha yao, I truly believe kwamba kuhalilisha hii biashara yao itakuwa ni huge step towards that.
 
Huyu DIWANI yupo tayari kum-trade mama yake Mzazi ktk Danguro?...Kwa mnaotetea Hii biashara...MNA AKILI TIMAM?....Kama biashara kawaambieni mama zenu wazazi waanze kuuza....!!!!....

Najua hilo Haliwezekani....Vip Biashara ya Gongo?...Ihalalishwe?
....Vp Biashara ya Madawa ya Kulevya...Ihalishwe?
. ....Vp biashara ya Bangi.....Ihalalishwe?
...Vp tuwaruhusu watu watembee UCHI kama walivyozaliwa....?
...Watu wauze Magazeti ya Ngono...Ihalishwe?
.....TV station zioneshe Ngono....Ihalalishwe...?
.....Ushoga.....Uhalishwe...?

Wana JF tusiwe wachache wa akili...Mwanadam anatofauti kubwa na Wanyama...!!! Wanyama wana macho...wana masikio...Nyoyo...lkn vyote hivyo haviwasaidiii...

Diwani kashindwa kufikiria namna ingine ya kuwaongezea kipato wananchi wake...Huyu Diwani Bwege...na Unaujauzito wa Mawazo!!!...
 
Hakuna kupindisha mada...! Ushoga na Ukahaba ni vitu pacha. Penye Ukahaba na Ushoga Haukosekani.

Wakipewa Green light Makahaba na Ukahaba wa jinsia moja pia Utataka kupewa Green light.

Kwani kuna tofauti gani kati ya vitendo hivi viwili?

Ukahaba na Ushoga vyote ni Prostitution...! Vitendo vyote hivyo vinaingia kwenye kundi la UASHERATI.

Ukihalalisha kimoja na Kingine kitadai haki Kwani kama nilivyosema hapo kabla Hawa ni ndugu pacha. Huwezi watenganisha.

Na wale mashoga wanaotiana kwa nyege zao tu bila kulipana, tuwaweke kundi gani?

Kumbuka pia kwamba kama kuna biashara ya mashoga basi wanunuzi ni mashoga pia. wanaopenda wanawake hawanunui mwanaume mwenzao wakati wanawake wamejaa.
 
Huyu DIWANI yupo tayari kum-trade mama yake Mzazi ktk Danguro?...Kwa mnaotetea Hii biashara...MNA AKILI TIMAM?....Kama biashara kawaambieni mama zenu wazazi waanze kuuza....!!!!....

Najua hilo Haliwezekani....Vip Biashara ya Gongo?...Ihalalishwe?
....Vp Biashara ya Madawa ya Kulevya...Ihalishwe?
. ....Vp biashara ya Bangi.....Ihalalishwe?
...Vp tuwaruhusu watu watembee UCHI kama walivyozaliwa....?
...Watu wauze Magazeti ya Ngono...Ihalishwe?
.....TV station zioneshe Ngono....Ihalalishwe...?
.....Ushoga.....Uhalishwe...?

Wana JF tusiwe wachache wa akili...Mwanadam anatofauti kubwa na Wanyama...!!! Wanyama wana macho...wana masikio...Nyoyo...lkn vyote hivyo haviwasaidiii...

Diwani kashindwa kufikiria namna ingine ya kuwaongezea kipato wananchi wake...Huyu Diwani Bwege...na Unaujauzito wa Mawazo!!!...

Umemtukana diwani hapa kwa mawazo yake.

Nakuuliza je ukimtetea albino basi una mama albino au ndugu albino?

Au kwasababu huna ndugu albino au mtoto usitetee wengine ambao ni binadamu.

Halafu usije kushangaa wewe unayemtukana diwani na wewe pia unawachukua machangu.
 
hilo wazo litakuwa na maana kama hao malaya watakuwa sehemu maalum ..ambako vijana under 18 hawawezi kufika....sehemu hiyo inaweza kuwa for members only.....members wote lazima wawe wanapima ukimwi KILA MWEZI wanapolipia renew..na HAO MALAYA PIA WAWE WANAPIMWA UKIMWI NA MAGONJWA YA ZINAA KILA MWEZI..hapo tutakuwa tunawahakikishia watu wote afya.....nadhani nchi za ulaya wanakoruhusu wanapimwa afya ..pia....
 


Najua hilo Haliwezekani....Vip Biashara ya Gongo?...Ihalalishwe?
....Vp Biashara ya Madawa ya Kulevya...Ihalishwe?
. ....Vp biashara ya Bangi.....Ihalalishwe?
...Vp tuwaruhusu watu watembee UCHI kama walivyozaliwa....?
...Watu wauze Magazeti ya Ngono...Ihalishwe?
.....TV station zioneshe Ngono....Ihalalishwe...?
.....Ushoga.....Uhalishwe...?

..

*Gongo si haramu, kwani watu hawanywi?

*Biashara ya madawa ya kulevya ni haramu, kwani watu hawayatumii?
*Biashara ya bangi si haramu? kwani watu hawavuti bangi?
*Kutembea uchi ni haramu? mbona baadhi ya makabila wanatembea uchi, na wengine mtoni wanaoga makundi uchi.
* Magazeti ya ngono si haramu, je hayapatikani na hayatumiwi?
*Tv station zionyeshezo ngono haramu, kwani hakuna mtu anayeangalia hizo tv.
*Ushoga haramu, je haupo?

Hata hizo nchi zinazohalalisha hayo mambo yote uliyosema hapo juu wana mipaka.

Licha ya kutembea uchi huruhusiwi pia kwenda ofisini na pajama.
Au kutembea na chupi mitaani.
 
Huyu DIWANI yupo tayari kum-trade mama yake Mzazi ktk Danguro?...Kwa mnaotetea Hii biashara...MNA AKILI TIMAM?....Kama biashara kawaambieni mama zenu wazazi waanze kuuza....!!!!....


Wana JF tusiwe wachache wa akili...Mwanadam anatofauti kubwa na Wanyama...!!! Wanyama wana macho...wana masikio...Nyoyo...lkn vyote hivyo haviwasaidiii...

Diwani kashindwa kufikiria namna ingine ya kuwaongezea kipato wananchi wake...Huyu Diwani Bwege...na Unaujauzito wa Mawazo!!!...
Huna haja ya kuja na makelele mengi huku ukishindwa kutoa hoja inayoeleweka...

Kuna umuhimu mkubwa wa kuruhusu biashara ya ngono hapo Bongo na kwa kuanzia hiyo Halmashauri ya Kinondoni, ambako ukahaba upo katika hali ya juu kabisa. Kupingana na hoja hii ni sawa na kupingana na mkondo wa maji.

Hakuna kificho juu ya juhudi zote za serikali katika kuondoa ukahaba, lakini hadi leo hii wameshindwa, sasa ni vema wakaruhusu ili iweze kufanyika kwa uhalali huku nao wakipata kodi zao. Zaidi kuendelea kuifungia ni kuendeleza vitendo vya uonevu kwa hao makahaba.

Magazeti ya ngono, maduka ya vikorombwezo vya ngono na kila kitu kiendanacho na ustawi wa ngono viruhusiwe, na vuuzwe kwa wenye stahili ya kuvitumia na katika sehemu maalumu ambapo wasio stahili hawatoweza kufika. Hili sio geni hapo Tanzania. Miaka ya sabini hadi mwanzoni ya miaka ya themanini, watanzania walikuwa wanaangalia ngono kwenye majumba ya sinema, sio kwa nini sasa iwe tatizo kama nchi inasonga mbele... ama kama inarudi nyuma hilo litakuwa jambo lingine.

Hii ya kusema inakwenda kinyume na maadili huku takwimu za maambukizi ya ukimwi ikiongezeka, ni dalili kuwa hakuna hata hayo maadili. Iwapo makahaba wote watasajiliwa na kuwa na eneo la biashara ni rahisi kwa wao kupimwa afya zao, ni rahisi kwa wao kuwashinikiza wateja wao kutumia kinga na ni rahisi kwao kufanya biashara hiyo kongwe kabisa katika usalama kuliko hivi sasa. Uwazi katika ngono utachangia kiasi kikubwa katika kupunguza ukimwi, nyumba ndogo na matendo ya ubakaji.
 
PROSTITUTION-the world oldest business......

hata kwenye maandiko na hadithi kulikuwa na hawa watu...tunaweza kusema kiunafiki lakini ukweli huyo diwani wa makumbusho ana haki kusema hayo...hali ni mbaya sana wazee maeneo ya sinza,manzese,tandale,makumbusho...siku hizi madanguro yapo yapo yapo....tembeeni mtaaona..watoto wadogo..sana..kadiri mnavyoona wimbi la vibaka ,wamachinga,...wapiga debe..etc ..tambueni kuwa behind the scene kuna idadi kama hiyo hiyo ya binti zetu wa kike wanajiuza ....lakini hatuwaoni..wapo!!

wanajiuza ..hawana elimu yeyote ya magonjwa ya zinaa..wanafaidisha kina mama wachache ambao wanawaleta mjini...na pale wanapougua waanatelekezwa wanakufa!!!

kuna TAXI BUBU...HAWA ni wanawake wenye elimu ..wanaopita posta mjini wakiwa wasafi..smart..hutaamini kuwa ni malaya ...daima hujifanya wanafanya kazi za marketting voda,tigo,zain etc........lakini huwa wanajiuza..ikifika usiku wanajiuza wazi wazi..

kimsingi na kidini ukahaba haukubaliki...lakini mjuwe kuwa alichoongea huyo diwani huenda anawakilisha mawazo ya kweli ya wapiga kura wake...tujiandae kukabiliana na hoja za namna hii nyingi sasa..!
 
kuna jambo moja litalosaidia kupambana na ukimwi kwa waliooa....mara nyingi wanaume wengi hupeeka ukimwi nyumbani kutokana na kuwa na nyumba ndogo nyingi...ukiwa kwa mfano na nyumba ndogo 4....kuna wakati unaweza kufika ukawa unafanya nao mapenzi bila kinga..hii ni hatari..unajidanganya kuwa ni wake zako wadogo..but you can not have them all at a time..unapozungukia kwingine wao wanawapa wengine...tena hawa mabinti hupenda kuwa na wazee tuliooa kwa sababu usiku wanapata muda wa kuzunguka....sometimes nyumba ndogo yako usiku ni kahaba,,,...

sasa point yangu ni kuwa ...kama kutakuwa na legalized BROTHEL...wanaume tutakuwa hatuna haja ya kuwa na nyumba ndogo....mtu akitaka kubadili mboga ataenda kwa brothel....atavaa kondomu lazima ..maana kama hutavaa unatishia uhai wako...na yeye hatakubali....!!!..nadhani mtakubali kuwa watu wengi huwa makini sana kuvaa kondomu wanapokutana na kahaba......kuliko anapokutana na nyumba ndogo...!
 
Huyu DIWANI yupo tayari kum-trade mama yake Mzazi ktk Danguro?...Kwa mnaotetea Hii biashara...MNA AKILI TIMAM?....Kama biashara kawaambieni mama zenu wazazi waanze kuuza....!!!!....

Najua hilo Haliwezekani....Vip Biashara ya Gongo?...Ihalalishwe?
....Vp Biashara ya Madawa ya Kulevya...Ihalishwe?
. ....Vp biashara ya Bangi.....Ihalalishwe?
...Vp tuwaruhusu watu watembee UCHI kama walivyozaliwa....?
...Watu wauze Magazeti ya Ngono...Ihalishwe?
.....TV station zioneshe Ngono....Ihalalishwe...?
.....Ushoga.....Uhalishwe...?

Wana JF tusiwe wachache wa akili...Mwanadam anatofauti kubwa na Wanyama...!!! Wanyama wana macho...wana masikio...Nyoyo...lkn vyote hivyo haviwasaidiii...

Diwani kashindwa kufikiria namna ingine ya kuwaongezea kipato wananchi wake...Huyu Diwani Bwege...na Unaujauzito wa Mawazo!!!...

What harm is there if a woman wants to use her body to earn a bit of cash? We all sell our bodies in different ways anyway, hata kama unabeba magunia shimoni kariakoo na mamisui yako- unatumia mwili wako! so let the prostitutes do the same if thats what they have got to offer. I honestly dont see any harm kama hii biashara itafanywa kwenye organised, regulated and controlled environment. Rhuksa!

Hata mtoto wa nursery atagundua kwamba this is nowhere near hizo bangi, madawa ya kulevya na gongo unazozisema, they are completely different issues na ni rahisi kuona madhara yake.

Chuma jaribu kufanya research utagundua kuwa hawa machangu kuna siku kikiwachanganyia wanaondoka hata na dola mia kwa usiku mmoja, sasa muheshimiwa diwani hata afanye nini, labda atakuja na kamradi ambako katamuingizia huyo changu hiyo amount kwa mwezi mzima, do you think they will be stupid to do what he wants them to do and stop doing what they are doing now?
 
Jamani si kuna sheria inayokataza ukahaba?. Kama ipo inabidi wabunge wahusike. vinginevyo madiwani watunge sheria ndogo kwa ajili ya manispaa ya kinondoni tu wahalalishe.
 
Zamani pale karibu na Dar Tech kulikuwa na vibanda vya Wahaya, wanafunzi tulikuwa tunaenda kupata huduma hapo ya bei rahisi.

Ni ngumu kuua biashara ambayo ina wateja wengi.

Na Kisutu je? Na Zanzibar Hotel? Na Skyway?
Tuache unafiki na tuhalalishe! Mapolisi na mgambo waende kupambana na majambazi na si kukesha kufukuzana na changu doa!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom