Brodre
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 2,351
- 1,372
Nilikua navuka kuingia upande wa kigamboni leo nikakutana na gari kama 4 hivi zina plate namba za kijani kuonesha ni za wafanyakazi wa east african community na nyingine ilikua ni DFP.
Cha ajabu zilikua zinaendesha na wachina pamoja na wazungu tupu kulikua hakuna mbongo huko afu inaonekana kama walikua wanatoka beach kulingana na mavazi waliyokua wamevaa. Je ni halali kwa hizo gari kutumika hivo?
Kwanini wawepo wazungu na wachina ilihali gari zinaonekana ni za jumuiya ya africa mashariki au mimi ndo sifahamu nijuzeni tafadhali
Cha ajabu zilikua zinaendesha na wachina pamoja na wazungu tupu kulikua hakuna mbongo huko afu inaonekana kama walikua wanatoka beach kulingana na mavazi waliyokua wamevaa. Je ni halali kwa hizo gari kutumika hivo?
Kwanini wawepo wazungu na wachina ilihali gari zinaonekana ni za jumuiya ya africa mashariki au mimi ndo sifahamu nijuzeni tafadhali