Hivi kwann tanesco wanatoza haya malipo ya kila mwezi kulipia mita wakati ukiwa unafunga umeme unailipia tena gharama kubwa tu zaidi ya laki nne??
Hivi kwann tanesco wanatoza
haya malipo ya kila mwezi kulipia mita wakati ukiwa unafunga umeme
unailipia tena gharama kubwa tu zaidi ya laki nne??
Hata mimi nashangaa watu wanakaa bungeni na kuanza kuibua tuhuma mfilisi. BUNGENI!Micjawah kuelewa hawa wanao jiita wa tetez wawa nyonge wanateteaga nn haya ndo.mambo yakupgania Jaman ah
Mfumo Wa kifisadi ndio unaotawala
Hata mimi nashangaa watu wanakaa bungeni na kuanza kuibua tuhuma mfilisi. BUNGENI!
Watanzania wanatahabika na hali duni ya maisha na bado wanaongezewe mizigo kila kukicha, halafu mtu analeta utani.