Serekali =serikaliKama unaona serekali haikuridhishi acha kazi mbona munalalamika sana
Kwanza hajui kuandika huyoHahahaha, nimekutafakari kwa kina nikagundua kitu, unaushabiki na sio logic thinker!!!
sisi kazini ni kusaini na kukaa staff tunasubiria chai na matoto matukutu tuyasilibe bakora.
molari itarejea au kupotea July 31.
okey
Acheni kazi mje kitaani
Ndo uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo mkuu..safi.Acheni kazi mje kitaani