Uhakiki wa vyeti: JPM kawashika vigogo pabaya matumbo moto

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,486
2,332
Safari hii vigogo wameshikwa pabaya maana JPM hana roho kama ya yule mwingine, hata anapoongea unamuona usoni kuwa amemaanisha anachokisema hata kama kina matokeo hasi kwa wananchi. Si mnakumbuka suala la mizani na malori, mnakumbuka jengo la Tanesco ubungo?

Si vyema kuwataja hapa maana mijadala mingi inaendelea hapa JF kwa baadhi yao. Na kinachowaogopesha zaidi Mh. siku hizi ni kama vile anapitia hapa mara kwa mara hata ukisikiliza majibu yake juu ya maneno ya mitandao ya kijamii utagundua kuna mfanano na hoja zilizoko hapa kwa hiyo mtu akitajwa hapa moja kwa moja habari inafika mjengoni.

Tuendelee kuisoma namba kwa pamoja
 
Vyeti sahihi na kazi sahihi sio tatizo,kama uliishi kwa ujanja ujanja na majungu kama mtaji,ndio kiama.Tukutane 2020
 
Kuna Jamaa alimaliza Law pale UDSM akiwa na first class. Kwa kuwa desparate akajikuta anaomba kazi polisi. Mpaka leo analinda bank. NOT fair
 
Watanzania hatuendelei kwa sababu ni vyeti oriented. Chukua mtu mwenye masters ya mechanical engineering wa sasa mpeleke garage uone atakavyoboronga
 
Back
Top Bottom