ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,030
- 3,908
Swali langu la leo ni kutaka kujua iwapo kuna mfanano wa kitabia kati ya viongozi hawa watatu.
Na Je ufanano wao unaweza kuwa na madhara gani kwa mustakabali wa Jumuia ya Afrika Mashariki-JUAMA
Binafsi nawaona kama despots ambao wanaweza kuwa na mipango ya tofauti sana tofauti na matarajio ya raia wa JUAMA
Tuwajadili
Na Je ufanano wao unaweza kuwa na madhara gani kwa mustakabali wa Jumuia ya Afrika Mashariki-JUAMA
Binafsi nawaona kama despots ambao wanaweza kuwa na mipango ya tofauti sana tofauti na matarajio ya raia wa JUAMA
Tuwajadili