cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,768
- 73,435
wizara ipi ??
Yako.
wizara ipi ??
We acha tuKwanza pole sana kwa kuondokewa na MWANAO KIPENZI, pili Mungu azidi mjalia afya njema katika matibabu yake ila cha msingi ni kujifunza kuwa "Mungu hapangiwi muda wakumchukua MJA wake, hata akipata tatizo gumu kiasi gani mara ZOTE humuacha kwa kusudio la wengine kujifunza kutokana na lililo tokea, kazi ni kwa hawa WATOA ahadi kwa WATU MASIKINI VIJIJINI ili wapate KURA, Ilihali WAOMBAJI wanawazia "KULA" tu na si vinginevyo.