Uhaba wa Maji Dar es Salaam: Harufu zimeanza kuwa kali maofisini na Majumbani

Kwa miaka mitano tangu 2015 mpaka 2020, Maji na umeme hayakuwahi kukatika hovyo Dar na Jua lilikuwa kali sana

JPM alisema watu wanafungulia maji makusudi mtera, na Mabwawa mengine ili tuwe na uhaba wa umeme na maji

JPM alifoka sana na alitoa onyo kali kwa wahusika, Ikawa ndio mwisho wa maji na umeme kukatika Tanzania

Leo biashara za visima, Generator na solar zimeanza

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

Leo watu wananuka jasho Dar

Ukipata tatizo la tumbo ndio utajua JPM alikuwa Mwamba sana

Haya ya sasa tuliyapitia wakati wa kikwete mpaka 2015 mwishoni, Wakati wa Jakaya maji tulinunua sana, JPM ndie a lie badilisha mfumo maji na umeme ikawa sehemu ya maisha yetu
Unaishi Dar au Chato?

Lini maji hayakuwai kukatika hovyo Dar?
 
Kwa miaka mitano tangu 2015 mpaka 2020, Maji na umeme hayakuwahi kukatika hovyo Dar na Jua lilikuwa kali sana

JPM alisema watu wanafungulia maji makusudi mtera, na Mabwawa mengine ili tuwe na uhaba wa umeme na maji

JPM alifoka sana na alitoa onyo kali kwa wahusika, Ikawa ndio mwisho wa maji na umeme kukatika Tanzania

Leo biashara za visima, Generator na solar zimeanza

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

Leo watu wananuka jasho Dar

Ukipata tatizo la tumbo ndio utajua JPM alikuwa Mwamba sana

Haya ya sasa tuliyapitia wakati wa kikwete mpaka 2015 mwishoni, Wakati wa Jakaya maji tulinunua sana, JPM ndie a lie badilisha mfumo maji na umeme ikawa sehemu ya maisha yetu
Jambo pekee ambalo marehemu Magufuli alikuwa mbele ya wengine, akitaka jambo lifanyike, kwa kiasi kikubwa litafanyika bila kujali kuna hela au hakuna hela, taratibu zimefuatwa au hazikufuatwa. Mungu angeendelea kumjalia uhai, eneo ambalo alistahili kulifanyia kazi kubwa, ni kutambua kipi kilicho sahihi kwa kuangalia faida na hasara za muda mfupi na mrefu.

Mahali alipofeli kabisa ni kuvumilia kukosolewa. Na hapa ndiyo palizaa mengi - watu kupotezwa, kuuawa, kushambuliwa kwa risasi, kubambikia watu kesi, n.k. Sasa unapogusa uhai wa watu na kujitwalia mamlaka ya nani aishi na nani asisishi, nani awe huru na nani awe mahabusu, haya maovu yanafunika yale mazuri kiasi kwamba au yasionekane kabisa au yaonekane kwa taabu.
 
Jambo pekee ambalo marehemu Magufuli alikuwa mbele ya wengine, akitaka jambo lifanyike, kwa kiasi kikubwa litafanyika bila kujali kuna hela au hakuna hela, taratibu zimefuatwa au hazikufuatwa. Mungu angeendelea kumjalia uhai, eneo ambalo alistahili kulifanyia kazi kubwa, ni kutambua kipi kilicho sahihi kwa kuangalia faida na hasara za muda mfupi na mrefu.

Mahali alipofeli kabisa ni kuvumilia kukosolewa. Na hapa ndiyo palizaa mengi - watu kupotezwa, kuuawa, kushambuliwa kwa risasi, kubambikia watu kesi, n.k. Sasa unapogusa uhai wa watu na kujitwalia mamlaka ya nani aishi na nani asisishi, nani awe huru na nani awe mahabusu, haya maovu yanafunika yale mazuri kiasi kwamba au yasionekane kabisa au yaonekane kwa taabu.
Ni kweli lakini tutamkumbuka kwa mazuri na ili tumsahau waliopo wangefanya mazuri zaidi yake lakini hali ni tofauti matokeo yake mabaya yake hayakumbukwi watu wanalinganisha mfano mfumuko wa bei, maji, umeme nk
 
Ni kweli lakini tutamkumbuka kwa mazuri na ili tumsahau waliopo wangefanya mazuri zaidi yake lakini hali ni tofauti matokeo yake mabaya yake hayakumbukwi watu wanalinganisha mfano mfumuko wa bei, maji, umeme nk
Ubongo wa binadamu umetengenezwa kukumbuka mabaya zaidi kuliko mazuri!

The bad experiences will always stay on your brain to remind you of not repeating the same mistakes! Sasa ikiwa mambo ni mabaya kuliko hata awamu iliyopita guess what will happen? Ni hali ya kibinadamu tu.

Na ndio sababu ya mbona hatukuona umeme na maji vikikatika, mbona hatukuona kitu kile kikitokea tofauti na sasa? Mbona wamachinga wanafurushwa mbona hatukuwa na tozo?
 
Jambo pekee ambalo marehemu Magufuli alikuwa mbele ya wengine, akitaka jambo lifanyike, kwa kiasi kikubwa litafanyika bila kujali kuna hela au hakuna hela, taratibu zimefuatwa au hazikufuatwa. Mungu angeendelea kumjalia uhai, eneo ambalo alistahili kulifanyia kazi kubwa, ni kutambua kipi kilicho sahihi kwa kuangalia faida na hasara za muda mfupi na mrefu.

Mahali alipofeli kabisa ni kuvumilia kukosolewa. Na hapa ndiyo palizaa mengi - watu kupotezwa, kuuawa, kushambuliwa kwa risasi, kubambikia watu kesi, n.k. Sasa unapogusa uhai wa watu na kujitwalia mamlaka ya nani aishi na nani asisishi, nani awe huru na nani awe mahabusu, haya maovu yanafunika yale mazuri kiasi kwamba au yasionekane kabisa au yaonekane kwa taabu.
Lakini bado mazuri yake mengi yanaendelea kuonekana
 
Watu wa Dar es Salaam, Mambo yamekuwa sio mambo, ni harufu kali na uchafuzi wa mazingira unatokana na uhaba wa maji

Familia zenye watu wengi ni shida na balaa, Watu wana nawa uso tu, nguo hazifuliwi zinanuka jasho

Je, CCM ni ile ile au hii nyingine

Na joto kali sio Dar es Salaam tu bali Tanzania nzima

Mvua zisiponyesha Kifuatacho ni njaa njaa kama Madagascar wanaokula udongo kwa sasa

Mlioshikilia Mabwawa na umeme waoneeni huruma wananchi, Maji yatasababisha watu kukimbiana
Aseee! Hii kali sana ya kufungia mwaka!
 
Watu wa Dar es Salaam, Mambo yamekuwa sio mambo, ni harufu kali na uchafuzi wa mazingira unatokana na uhaba wa maji

Familia zenye watu wengi ni shida na balaa, Watu wana nawa uso tu, nguo hazifuliwi zinanuka jasho

Je, CCM ni ile ile au hii nyingine

Na joto kali sio Dar es Salaam tu bali Tanzania nzima

Mvua zisiponyesha Kifuatacho ni njaa njaa kama Madagascar wanaokula udongo kwa sasa

Mlioshikilia Mabwawa na umeme waoneeni huruma wananchi, Maji yatasababisha watu kukimbiana
Tulia lazima watengeneze janga ile baadaye tuambiwe Hangaya kaingilia Kati na shida imeisha
 
Watu wa Dar es Salaam, Mambo yamekuwa sio mambo, ni harufu kali na uchafuzi wa mazingira unatokana na uhaba wa maji

Familia zenye watu wengi ni shida na balaa, Watu wana nawa uso tu, nguo hazifuliwi zinanuka jasho

Je, CCM ni ile ile au hii nyingine

Na joto kali sio Dar es Salaam tu bali Tanzania nzima

Mvua zisiponyesha Kifuatacho ni njaa njaa kama Madagascar wanaokula udongo kwa sasa

Mlioshikilia Mabwawa na umeme waoneeni huruma wananchi, Maji yatasababisha watu kukimbiana
Mtakoma na Jiji lenu uchwara hilo.
 
Kwa miaka mitano tangu 2015 mpaka 2020, Maji na umeme hayakuwahi kukatika hovyo Dar na Jua lilikuwa kali sana

JPM alisema watu wanafungulia maji makusudi mtera, na Mabwawa mengine ili tuwe na uhaba wa umeme na maji

JPM alifoka sana na alitoa onyo kali kwa wahusika, Ikawa ndio mwisho wa maji na umeme kukatika Tanzania

Leo biashara za visima, Generator na solar zimeanza

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

Leo watu wananuka jasho Dar

Ukipata tatizo la tumbo ndio utajua JPM alikuwa Mwamba sana

Haya ya sasa tuliyapitia wakati wa kikwete mpaka 2015 mwishoni, Wakati wa Jakaya maji tulinunua sana, JPM ndie a lie badilisha mfumo maji na umeme ikawa sehemu ya maisha yetu
Dar ipi unasema hapakuwahi kuwa na shida ya maji? Kwani maji ya Wami/Ruvu kuna bwawa la kufungulia?

Tatizo la maji vigogo wa DAWASA wanatakiwa kuwajibika.
 
Kwa miaka mitano tangu 2015 mpaka 2020, Maji na umeme hayakuwahi kukatika hovyo Dar na Jua lilikuwa kali sana

JPM alisema watu wanafungulia maji makusudi mtera, na Mabwawa mengine ili tuwe na uhaba wa umeme na maji

JPM alifoka sana na alitoa onyo kali kwa wahusika, Ikawa ndio mwisho wa maji na umeme kukatika Tanzania

Leo biashara za visima, Generator na solar zimeanza

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

Leo watu wananuka jasho Dar

Ukipata tatizo la tumbo ndio utajua JPM alikuwa Mwamba sana

Haya ya sasa tuliyapitia wakati wa kikwete mpaka 2015 mwishoni, Wakati wa Jakaya maji tulinunua sana, JPM ndie a lie badilisha mfumo maji na umeme ikawa sehemu ya maisha yetu
Dar ipi unasema hapakuwahi kuwa na shida ya maji? Kwani maji ya Wami/Ruvu kuna bwawa la kufungulia?

Tatizo la maji vigogo wa DAWASA wanatakiwa kuwajibika.
 
mitano tangu 2015 mpaka 2020, Maji na umeme hayakuwahi kukatika hovyo Dar na Jua lilikuwa kali sana

JPM alisema watu wanafungulia maji makusudi mtera, na Mabwawa mengine ili tuwe na uhaba wa umeme na maji

JPM alifoka sana na alitoa onyo kali kwa wahusika, Ikawa ndio mwisho wa maji na umeme kukatika Tanzania

Leo biashara za visima, Generator na solar zimeanza

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

Leo watu wananuka jasho Dar

Ukipata tatizo la tumbo ndio utajua JPM alikuwa Mwamba sana

Haya ya sasa tuliyapitia wakati wa kikwete mpaka 2015 mwishoni, Wakati wa Jakaya maji tulinunua sana, JPM ndie a lie badilisha mfumo maji na umeme ikawa sehemu ya maisha yetu
Hizi sifa za kijinga bana, magu alikataa katiba ili kuwe na mifumo ya uwajibikaji, akijigeuza yeye ndio mifumo, huku akizuia vyombo vya habari kuwa huru kutangaza mapungufu ya serikali yake. Kama alikuwa kiongozi mzuri angetengeneza mifumo, na sio kujifanya mkali huku ukiwa na mifumo dhaifu. Hizi sifa za kijinga wapelekeeni wenye ufahamu duni.
 
Back
Top Bottom