Uhaba wa ajira walimu wa Arts toka Serikali

Ukweli ni kwamba walimu wa arts bado wanahitajika mashuleni, ila nahisi kwa zama hizi si kipaumbele. Hili inadiscourage sana vijana waliopo vyuoni kwa masomo hayo. Kifupi kama Sera ni viwanda obviously, sayansi na Ufundi huenda ndo priority.
Kwa waliopo vyuoni wamalizie tu, ila kwa wanaodahiliwa sasa kwa arts huenda wategemee ajira 2027. Nawasilisha
Walimu wa Arts wamejaa mkuu,sema mgawanyo wa walimu haupo fair.Wamerundikwa sehemu chache.
 
Ndugu usizungumze kitu usichokijua,wala usitolee mfano kijiji chako ukafananisha nchi nzima,kuna mikoa walimu wa arts pia wapo wachache mfano nenda tanga kilindi kafanye utafiti kule utajua,usiwe na wivu na wenzio hujui tabu walizopitia masomoni we inaonesha uliishia darasa la pili ndo mana unakua na wivu,angalia ktk viwango vya kimataifa mwalimu mmoja anatakiwa afundishe wanafunzi 40 je angalia kwetu utasemaje walimu wengi,
Walimu wa Arts ni wengi Ila mgawanyo ndio mbovu.Wamerundikwa sehemu moja
 
Usitolee mifano mijini usagara ni mjini sawa useme daresalaam,nenda vijijini ndo mana nikakwambia wilaya ya kilindi,kilombero,nenda mkinga,na nenda na kusini huko,nenda ngara,ndio utajua sio upo usagara unatolea mifano nani kakwambia shule za mijini zina uhaba?hivi unajua kwann wizara inalaumu halmashauri haziweki uwiano wa watumishi kati ya mijini na vijijini?angalia pia ajira zilizotolewa juzi walivyopelekwa vijijini hiyo inaonesha haswaa vijijini bado uhaba upo.kingine chakukuongezea ni kwamba hizi ajira za ualimu,afya,majeshi wafanyakazi wao mara nyingi wanastaafu kwa makundi tofauti na ajira za kuomba mmoja mmoja kwakua wanaajiriwa pamoja na asilimia kubwa wanakua na umri unaolingana hivyo hata ikifika kustaafu watastaafu kwa mkupuo labda watofautiane miezietu tu.nazani kama kweli ujaishia darasa la pili utakua umenielewa sawa mkuu?
Tatizo sio uhaba wa walimu tatizo lililopo ni mgawanyo wa walimu.Wakati huku Sayansi hata hao wa kugawanya hawapo.
Kwa Sasa hivi ukienda mjini hakuna hata shule Moja yenye uhaba wa walimu wa Sayansi.Lkn walimu wa Sayansi Bado ni haba hadi mjini.
Kuna shule naijua ipo Morogoro mjini toka ianze haijawahi kuwa na mwalimu wa Physics na Chemistry.Mwaka juzi tu ndio imepata wa Chemistry wawili na mwaka Jana ikapata wa Physics mmoja.
 
Sasa si serikali iajiri kwa wingi hao waalimu wa sayansi? Na siyo kuajiri kwa mafungu pasi kuwa wanafunzi wanakosa hayo masomo
 
Sasa si serikali iajiri kwa wingi hao waalimu wa sayansi? Na siyo kuajiri kwa mafungu pasi kuwa wanafunzi wanakosa hayo masomo
Umepishana na gar la mshahara polee mkuu... Saiz ajira wanaangalia gpa.... 3.3ndo inamata kupata iyo kaz
 
Mbona watu wanasoma kozi mfano sheria, uchumi ambazo hazina guarantee kwamba unaweza pata ajira sehemu yeyote ile na wanasurvive
 
True,walimu wa English primary inabidi kuangalia upya.
Mwalimu wa English Primary atleast awe kafika form six
kufika form six au chuo kikuu sio tiketi ya kujua kufundsha English
kila kitu kinaenda kwa principle
kwan hiyo English ya primary n ngumu kiasi gan hadi wa cheti ashindwe? tatizo n changamoto za uelewa wa wanafumz na mazingira
tena hao wa six tukiwaleta huku chini ndio wataboronga maana hawajui mbnu za kumfundsha mtoto
 
32e7415b33ab6a8fdf445d27365b8824.jpg
nyie mnaosema walimu wanatosha angalieni hiyo
Haya nimekuelewa mwalimu
bro walimu wa Arts wengi sana kubali au kataa
hapo ktk hilo gazeti n uhaba wa waalimu wa msingi na sio sec
kiukweli msingi kuna hali mbaya
 
Shule hazina maabara. Kemikali hakuna,hao wana sayansi mngewapataje?
Short sited Nation.
Iv hiyo "sited" unamanisha ya kuona mbali au? Mana umeitumia mara nyingi kwenye comment zako,...... Kama ya kuona mbali ni "sighted" mkuu
 
Kama kuna shule ina uhaba wa mwalimu wa somo la chemistry mimi nipo tayari kujitolea kufundisha somo la chemistry bila malipo, napatikana dar-mbagala
 
Iv hiyo "sited" unamanisha ya kuona mbali au? Mana umeitumia mara nyingi kwenye comment zako,...... Kama ya kuona mbali ni "sighted" mkuu
Iv. = hivi
Unamanisha = una maanisha
BrE colour but AmE is color
 
Nahitaji mtu aliesoma Geo na language sasahv j tatu anaanza kazi,

Vigezo.
Awe mwanaume
Asiwe na familia
GPA 3 kwenda juu
Uwe upo vizuri kweli na mchapakazi n.k, Narudia tena mimi kigezo changu ni Men mana mademu wamezid kupewa kipaombele sana humu mpaka tunasahaliana wenyewe.

Mwisho, panapohtajika mwl wa Che, Phyz na Bios niambie yupo.

Usije Pm msije mkaanza kusemaa ooh jamaa kapendelea sijui nini sina ninaemjua, anza hapa hapa mimi nitakonsider wa kwanza kwenye uzi ni vizuri ukanitafta kabla ya sa saba.

Msikariri maisha mda mwingne ni bahat tu, ona sasa mimi natafuta mwl wa arts at the same time kuna wa sayansi mweny vgezo anatafta kazi
 
Nahitaji mtu aliesoma Geo na language sasahv j tatu anaanza kazi,

Vigezo.
Awe mwanaume
Asiwe na familia
GPA 3 kwenda juu
Uwe upo vizuri kweli na mchapakazi n.k, Narudia tena mimi kigezo changu ni Men mana mademu wamezid kupewa kipaombele sana humu mpaka tunasahaliana wenyewe.

Mwisho, panapohtajika mwl wa Che, Phyz na Bios niambie yupo.

Usije Pm msije mkaanza kusemaa ooh jamaa kapendelea sijui nini sina ninaemjua, anza hapa hapa mimi nitakonsider wa kwanza kwenye uzi ni vizuri ukanitafta kabla ya sa saba.

Msikariri maisha mda mwingne ni bahat tu, ona sasa mimi natafuta mwl wa arts at the same time kuna wa sayansi mweny vgezo anatafta kazi
 
Sayansi ya Tanzania ni kuandaa mafundi mchundo, ubunifu mdogo kazi ni kufanya service ya vilivyotoka ng'ambo. Eti mpaka leo sindano ya kushonea kwa mkono na shoka tunaagiza China. Tunazidiwa na wahenga wa stone age waliweza kutengeneza sindano na shoka la jiwe duu.
 
Nahitaji mtu aliesoma Geo na language sasahv j tatu anaanza kazi,

Vigezo.
Awe mwanaume
Asiwe na familia
GPA 3 kwenda juu
Uwe upo vizuri kweli na mchapakazi n.k, Narudia tena mimi kigezo changu ni Men mana mademu wamezid kupewa kipaombele sana humu mpaka tunasahaliana wenyewe.

Mwisho, panapohtajika mwl wa Che, Phyz na Bios niambie yupo.

Usije Pm msije mkaanza kusemaa ooh jamaa kapendelea sijui nini sina ninaemjua, anza hapa hapa mimi nitakonsider wa kwanza kwenye uzi ni vizuri ukanitafta kabla ya sa saba.

Msikariri maisha mda mwingne ni bahat tu, ona sasa mimi natafuta mwl wa arts at the same time kuna wa sayansi mweny vgezo anatafta kazi
Unapatikana wapi mkuu! Nina ndugu yangu amesomea History na Geography ana G.P.A ya 3.3 ninakuja pm km inawezekana kwa mawasiliano zaidi
 
Mimi ushauri wangu kwa vijana walioko vyuoni wanasomea ualimu arts wajiongeze wakipewa boom tu timka zako nenda kitaaa piga mishe,vijana wengi waliomaliza na hawana ajira anaanza na mtaji wa laki moja kwa biashara ndogondogo wengi wako mbali sana,au waende hata veta watapiga hela kitaaa.Huku kitaaa kumefulika wasomi ambao taaluma zao si tija tena katika maisha yao
 
Back
Top Bottom