Wakuu napenda kuuliza je bei halisi ya bidhaa hasa soda za kwenye maplastic ni shilingi ngapi kwa katoni moja? kwani main distributors wa mbagala wanauza bei kuanzia 6000-7000? magomeni 7000 ukinunua kwa main distributor.
Na cha kushangaza supply yake ni mbovu main distributors wanaleta aina moja kila baada ya siku mbili ( kama leo mbagala wameleta coke tu.... juzi fanta. Je tatizo ni nini? Uzalishaji au uwezo wa distributors?
Mwisho naomba kujuzwa bei halisi ni shiling ngapi kwa katoni anayotakiwa kuuza main distributors? Na kwanini watu wamarketing wameachia soko linayumbishwa bila kufuatilia? Kwani lengo la offload distribution ilikuwa ni nini kama hamuwezi fuatilia nyendo za main distributors?
Naomba kuwakilisha!
Na cha kushangaza supply yake ni mbovu main distributors wanaleta aina moja kila baada ya siku mbili ( kama leo mbagala wameleta coke tu.... juzi fanta. Je tatizo ni nini? Uzalishaji au uwezo wa distributors?
Mwisho naomba kujuzwa bei halisi ni shiling ngapi kwa katoni anayotakiwa kuuza main distributors? Na kwanini watu wamarketing wameachia soko linayumbishwa bila kufuatilia? Kwani lengo la offload distribution ilikuwa ni nini kama hamuwezi fuatilia nyendo za main distributors?
Naomba kuwakilisha!