isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,125
- 6,250
Imagine!Mchele tunakula tu, ungekua unafungwa na unajua kabisa hii ni Kihurio, Kyela au Ifakara. Sasa hivi unategemea mdomo wa Mangi kujua unanunua Ifakar aai Kyela
Kwa wepesi kabisa wahusika wanaweza kuanza na Mchele ½ / 1Kg / 2Kg / 5Kg ukafungashwa vyema kabisa.
Maharage, Soya, Njugu, Njegere Safi ½ / 1Kg / 2Kg / 5Kg | Unga katika ujazo huo huo.
Nikichukua Mchele na Maharage nafika na kuosha tu.