Habari kuhusu ugunduzi wa gesi Tanzania imetawala vyombo vingi vya habari duniani kote mwezi huu. Hapa Marekani habari kuu ya biashara za kimataifa ilikuwa ni juu ya ugunduzi wa gesi Tanzania.
Unaweza pia kona mwenyewe kwa ku google " Gas and oil discovery in Tanzania" utakutana na magazeti mengi duniani ambapo wengine wanaiona Tanzania sasa kama "energy giant in the globe".
Kampuni ya Norway imegundua jumla ya cubic feet trillion 28 katika maeneo ya Lindi na Mtwara. Baadhi ya wachambuzi wa maswala ya kiuchumi wanabishana iwapo Tanzania iko tayari kwa utajiri mkubwa nanma hiyo! Imedhihirika wazi kwamba, sasa Tanzania inao uwezo wa kutosheleza mahitaji ya gesi kwa nchi za Ujerumani, ufaransa na Italia kwa mkupo kwa mwaka mzima. Ndio kusema kwamba utajiri wa gesi Tanzania ni zaidi ya ule wa Libya.
Hoja ya majadiliano: Iwapo hadi sasa wananchi hawajayaona mafanikio makubwa katika sekta ya madini na utalii, je unadhani gesi yaweza kuwa chanzo cha uhakika cha kujikwamua katika lindi la umaskini? Nini kifanyike ili tuweze kufaidika na rasilimali hii?
Unaweza pia kona mwenyewe kwa ku google " Gas and oil discovery in Tanzania" utakutana na magazeti mengi duniani ambapo wengine wanaiona Tanzania sasa kama "energy giant in the globe".
Kampuni ya Norway imegundua jumla ya cubic feet trillion 28 katika maeneo ya Lindi na Mtwara. Baadhi ya wachambuzi wa maswala ya kiuchumi wanabishana iwapo Tanzania iko tayari kwa utajiri mkubwa nanma hiyo! Imedhihirika wazi kwamba, sasa Tanzania inao uwezo wa kutosheleza mahitaji ya gesi kwa nchi za Ujerumani, ufaransa na Italia kwa mkupo kwa mwaka mzima. Ndio kusema kwamba utajiri wa gesi Tanzania ni zaidi ya ule wa Libya.
Hoja ya majadiliano: Iwapo hadi sasa wananchi hawajayaona mafanikio makubwa katika sekta ya madini na utalii, je unadhani gesi yaweza kuwa chanzo cha uhakika cha kujikwamua katika lindi la umaskini? Nini kifanyike ili tuweze kufaidika na rasilimali hii?