Ugunduzi mpya waonyesha binadamu wa kwanza hakuishi Afrika Mashariki

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Mabaki ya mifupa iliyogunduliwa nchini Morocco inaonesha kuwa binaadamu aliibuka takriban miaka laki tatu iliyopita, miaka laki moja mapema kuliko ilivyodhaniwa awali. Ugunduzi huu pia unaonesha kuwa binadamu aina ya Homo Sapiens alikuwepo bara zima la Afrika na sio Afrika Mashariki pekee. Mabaki hayo ni ya watu wenye ubongo mdogo kuliko binaadam wa sasa

upload_2017-6-9_8-5-23.jpeg
 
Nimeuliza hivyo kwasababu hawa watu hawakuumbwa na kuwekwa hapa Afrika, sasa iweje Binadamu wa kwanza awe aliishi Tz au Morocco wakati Eden iko huko Iraq ?
Evolutionary theory imejaa ujanja ujanja na stoty za kuunga unga. Mimi siamini kama nimetoka kwenye Family ya Primates.
 
Ugunduzi unaendelea, mpaka mwaka elf 2050 usishangae ukiskia ugunduzi kua binadamu wakwanza aliishi antarctica
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom