Ugunduzi: Kijana Mtanzania atengeneza mpira wa miguu wenye viwango vya kimataifa

Safi sana

Tunataka kusikia na kuona mambo
Kama haya,siyo kila siku tuwasikie wakata
Mauno tu

Ova
 
Kijana wa chuo cha DIT Amani Simba amemshangaza Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Gabriel Robert kwa uwezo wake wa kufuma mpira wa miguu wenye viwango vya kimataifa alipofanya ziara ya kikazi katika chuo hicho mwishoni mwa wiki hii.

Kwa Maelezo ya Mkurugenzi wa Chuo hicho tawi la Mwanza Dkt Albert Mmari, kijana huyo ameonyesha kipaji cha kipekee tangu ameanza masomo chuoni hapo.

View attachment 1933162
Pamoja na pongezi lakini tuwe wakweli huu si ugunduzi kwakuwa mpira wa miguu si kitu kipya labda iwe katumia malighafi ambazo hazijawahi kutumiwa popote duniani kutengeneza mpira
 
Hivi Kugundua ni nini ?

Na suala la mipira Bora au Bata hawakuwahi kuzalisha?

Tatu viwango vitapimwa kwa mpira mmoja mmoja au baada ya kufanya mass production na kutoa maelfu ya mipira kwa dakika ?, Anyway kama tumefika hapo tusipoteze muda TFF waanze kununua kutoka hapa ila huenda ukakuta cost of production ya hapa na mipira ya huko ni mbingu na dunia ?

Am not a Hater ili hawa wataalamu wetu huko vyuoni wangekuwa wanashindana kutatua changamoto zetu na kwa ulimwengu wa sasa kushindana na kina Adidas na Nike katika utengenezaji wa mipira its a tall order unless otherwise ni ya bei nafuu sana tuweze kuitumia locally. Kudos kwa Kijana ila as a Country we have a long way to go.
Viwango hupimwa kwa njia mbili, yakeanza mtengenezaji hupeleka anachokitengeneza kwenye maabara ya viwango (TBS), njia inayofuatia ni maabara ya viwango kuichukua bidhaa husika popote pale inapouzwa bila kumuhusisha mtengenezaji na kuipima ili kupata uthibitisho halisi na kinachofuatia ni (TBS) kuipeleka bidhaa husika kwenye maabara ya viwango vya kimataifa (IBS) ikapimwe na kuthibitisha ubora wake. Hapa Tanzania ni kiongozi yoyote akisema kuwa bidhaa fulani imetimiza ubora wa hali ya juu basi ni sheria ila hapahapa tu.
 
Back
Top Bottom