Ugumu wa Maisha wasababisha sikukuu ya Pasaka kutokuwepo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,530
217,794
Kiukweli nimepita maeneo kadhaa ya Dar es Salaam , na hakika leo hakukuwa na Sikukuu ya Pasaka , ilikuwa Jumapili tu kama Jumapili nyingine zilizopita , kwenye Majumba ya watu wengi vimepikwa vyakula vya kawaida tu , vile vya siku zote tu kama ugali , wali , spinachi , maharage , matembele , nyama na samaki .

Hakukuwa na Vyakula Maalum kwa ajili ya Pasaka , unaweza kudhani wakazi wote wa DSM Wamefunga Ramadhan.

Uchunguzi wangu umebaini kwamba dhiki ya miaka 7 mfululizo ya wananchi wa Tanzania ambao idadi yao inakadiriwa kuzidi mil 65 , huku walioajiriwa na serikali wakiwa chini ya laki 6 , na ambao pia hawakuongezwa mshahara , posho wala marupurupu kwa miaka 7 ndio Sababu kubwa iliyosababisha kudorora kwa hali za familia nyingi , kiasi cha kusababisha sikukuu ya pasaka kudorora kabisa , Hakuna Shangwe wala vigeregere , kuna taarifa kwamba hata sadaka za makanisa zimeporomoka zaidi ya nusu .

Nakulilia Tanzania .

FB_IMG_1597733863117.jpg
 
Kiukweli nimepita maeneo kadhaa ya Dar es Salaam , na hakika leo hakukuwa na Sikukuu ya Pasaka , ilikuwa Jumapili tu kama Jumapili nyingine zilizopita , kwenye Majumba ya watu wengi vimepikwa vyakula vya kawaida tu , vile vya siku zote tu kama ugali , wali , spinachi , maharage , matembele , nyama na samaki .

Hakukuwa na Vyakula Maalum kwa ajili ya Pasaka , unaweza kudhani wakazi wote wa DSM Wamefunga Ramadhan.

Uchunguzi wangu umebaini kwamba dhiki ya miaka 7 mfululizo ya wananchi wa Tanzania ambao idadi yao inakadiriwa kuzidi mil 65 , huku walioajiriwa na serikali wakiwa chini ya laki 6 , na ambao pia hawakuongezwa mshahara , posho wala marupurupu kwa miaka 7 ndio Sababu kubwa iliyosababisha kudorora kwa hali za familia nyingi , kiasi cha kusababisha sikukuu ya pasaka kudorora kabisa , Hakuna Shangwe wala vigeregere , kuna taarifa kwamba hata sadaka za makanisa zimeporomoka zaidi ya nusu .

Nakulilia Tanzania .

View attachment 2191208
Watu wanna Maisha magumu lakini hata kidogo walicho nacho bado makengeza anapita kila Mitaa KUKUSANYA ili akale Bata na Joyce Mukya
 
Kiukweli nimepita maeneo kadhaa ya Dar es Salaam , na hakika leo hakukuwa na Sikukuu ya Pasaka , ilikuwa Jumapili tu kama Jumapili nyingine zilizopita , kwenye Majumba ya watu wengi vimepikwa vyakula vya kawaida tu , vile vya siku zote tu kama ugali , wali , spinachi , maharage , matembele , nyama na samaki .

Hakukuwa na Vyakula Maalum kwa ajili ya Pasaka , unaweza kudhani wakazi wote wa DSM Wamefunga Ramadhan.

Uchunguzi wangu umebaini kwamba dhiki ya miaka 7 mfululizo ya wananchi wa Tanzania ambao idadi yao inakadiriwa kuzidi mil 65 , huku walioajiriwa na serikali wakiwa chini ya laki 6 , na ambao pia hawakuongezwa mshahara , posho wala marupurupu kwa miaka 7 ndio Sababu kubwa iliyosababisha kudorora kwa hali za familia nyingi , kiasi cha kusababisha sikukuu ya pasaka kudorora kabisa , Hakuna Shangwe wala vigeregere , kuna taarifa kwamba hata sadaka za makanisa zimeporomoka zaidi ya nusu .

Nakulilia Tanzania .

View attachment 2191208
watu tumekula sana tu, nguruwe na kila kitu. Yani kama we hujala ni njaa zako tu.
 
Kiukweli nimepita maeneo kadhaa ya Dar es Salaam , na hakika leo hakukuwa na Sikukuu ya Pasaka , ilikuwa Jumapili tu kama Jumapili nyingine zilizopita , kwenye Majumba ya watu wengi vimepikwa vyakula vya kawaida tu , vile vya siku zote tu kama ugali , wali , spinachi , maharage , matembele , nyama na samaki .

Hakukuwa na Vyakula Maalum kwa ajili ya Pasaka , unaweza kudhani wakazi wote wa DSM Wamefunga Ramadhan.

Uchunguzi wangu umebaini kwamba dhiki ya miaka 7 mfululizo ya wananchi wa Tanzania ambao idadi yao inakadiriwa kuzidi mil 65 , huku walioajiriwa na serikali wakiwa chini ya laki 6 , na ambao pia hawakuongezwa mshahara , posho wala marupurupu kwa miaka 7 ndio Sababu kubwa iliyosababisha kudorora kwa hali za familia nyingi , kiasi cha kusababisha sikukuu ya pasaka kudorora kabisa , Hakuna Shangwe wala vigeregere , kuna taarifa kwamba hata sadaka za makanisa zimeporomoka zaidi ya nusu .

Nakulilia Tanzania .

View attachment 2191208
Pasaka licha ya changamoto ya uchumi, ila piah imekaa pabaya Hasa ukizngatia Ndugu wengine wapo kwwnye mfungo, piah watumishi sio mwisho wa mwezi do Mambo vululuvuluu
 
Back
Top Bottom