Ugumu wa Maisha: Maonesho ya sabasaba yanadiwa mitaani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,364
217,396
Naomba nikiri kwamba tangu nipate akili sikumbuki mwaka ambao maonyesho ya kimataifa ya biashara yakipigiwa debe mitaani mithili ya onyesho la FM ACADEMIA TCC CLUB .

Ni dhahiri kwamba mamlaka zinazohusika zimenusa njaa kali mitaani kiasi cha kushawishika kupiga debe mithili ya daladala za Tandika - Kariakoo.

Kampeni hiyo ya kushawishi wananchi kuhudhuria maonesho hayo inaendelea mitaa yote ya wilaya ya Temeke, walio mitaani ni mashahidi.
 
Kwanza mimi nashangaa kwanini wanaweka kiingilio.. Yalitakiwa kua Bure.. TU.. NINGEKUA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ningewaambia wasitoze watu kiingilio
Mbona kilimo Bure
Wadanganyika ni walalamishi sana. Hamuelewi maana ya Kaizari apewe Kaizari na mmeshaambiwa mkaze mikanda ili Serikali ya kugawa umasikini ipate fedha kidogo ili iweze kuagiza ze utamu(sukari) baadae iwauzie kwa bei elekezi.
Pelekeni mapesa bana ili wajanja wawasomeshe namba.

No free lunch.
 
Wadanganyika ni walalamishi sana. Hamuelewi maana ya Kaizari apewe Kaizari na mmeshaambiwa mkaze mikanda ili Serikali ya kugawa umasikini ipate fedha kidogo ili iweze kuagiza ze utamu(sukari) baadae iwauzie kwa bei elekezi.
Pelekeni mapesa bana ili wajanja wawasomeshe namba.

No free lunch.
Sasa mkuu hizo hela tutazitoa wapi ?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimeipenda hii, "Serikali ya kugawa umaskini"

Wadanganyika ni walalamishi sana. Hamuelewi maana ya Kaizari apewe Kaizari na mmeshaambiwa mkaze mikanda ili Serikali ya kugawa umasikini ipate fedha kidogo ili iweze kuagiza ze utamu(sukari) baadae iwauzie kwa bei elekezi.
Pelekeni mapesa bana ili wajanja wawasomeshe namba.

No free lunch.
 
Taasisi zote za serikali kwa mara ya kwanza Mwaka huu zitashiriki Maonesho ya Sabasaba kinyonge sana!
 
Back
Top Bottom