Hii koment yako imenichekesha kwa hasira, kwenye hii taarifa ya kuudhunisha..Huyo mama aache ujinga, miaka 30 anakata tamaa nani alimwambia azae kama simbilisi.
Kuna wanaosema lakini hawasikilizwi, dunia ya leo hakuna mwenye habar na mwingine.
Huyo mama kufanya alichokifanya alipitia mengi mno ndo maana akaamua bora afe na watoto wake kuliko kuwaacha wakipata tabu duniani hapa.
Ndiyo Ukweli WenyeweLawama ziende kwa sisiemu
NdioMiaka 30 watoto 5?
Kesi kama hii ,kama mm ndyo jaji .naiweka kweny dustibini .Watoto wawili wamefariki dunia baada ya mama yao mzazi, Veronica Gabriel (30), mkazi wa Kijiji cha Mwabagaru, Kata ya Buseresere, Wilaya ya Chato, mkoani Geita kuwanywesha sumu kisha na yeye kunywa kwa madai ya ugumu wa maisha.
Hata hivyo mama huyo amenusurika kifo licha ya kunywa sumu hiyo kwa madhumuni ya kujiua
Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Desemba 2, 2021 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe inasema mama huyo mwenye watoto watano aliwanywesha watoto wote sumu ya kuua wadudu kwenye nyanya na wawili kati yao kufariki.
Watoto hao wanumri kati ya mwaka mmoja na miezi tisa na miaka 12.
Watoto waliofariki dunia kutokana na sumu hiyo ni mwenye umri wa miaka 12 na miaka miwili.
“Watoto wengine wamelazwa Kituo cha Afya, Bwanga pamoja na mama yao akiwa chini ya ulinzi wa Polisi,”amesema Mwaibambe
Mwananchi
Kanda ya ziwa hiyo ni kawaida tena huyo kafata uzazi wa mpango !!! Utakuta mwanamke wa 30 years ana watoto 830 years with five kids no wonder Hadi amefanya maamuzi ya ajabu afungwe kizazi