Ugumu wa Maisha - Biashara za nguo na shamrashamra za Christmas zadoda vibaya

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,629
218,059
Wakuu kiukweli katika nchi hii kuna changamoto kali sana ya vyuma ( usiseme vyuma vimekaza ili kutii agizo la Mh rais ) , hali ya wafanyabiashara ya nguo na mapambo jijini DSM Imefeli kwa kiwango cha kuvunja rekodi ya tangu enzi .

Kwa mujibu wa wafanyabiashara waliohojiwa na Channel 10 wamekiri kuvunjwa kwa rekodi ya ukata kwenye Xmass zote tangu waanze biashara .

Mbisha wengi ni mchawi .
 
Wakuu kiukweli katika nchi hii kuna changamoto kali sana ya vyuma ( usiseme vyuma vimekaza ili kutii agizo la Mh rais ) , hali ya wafanyabiashara ya nguo na mapambo jijini DSM Imefeli kwa kiwango cha kuvunja rekodi ya tangu enzi .

Kwa mujibu wa wafanyabiashara waliohojiwa na Channel 10 wamekiri kuvunjwa kwa rekodi ya ukata kwenye Xmass zote tangu waanze biashara .

Mbisha wengi ni mchawi .
Hamna mwaka wafanyabiashara hao wamesemaga biashara iko poa!
Ni waathirika wa speculation.
 
Washushe bei ya nguo ...by the way christmass ni sherehe ya kimagharibi ...je Tanzania ina waislamu na wapagani wangapi wasiosheherekea christmas?

Zipo sikukuu kadhaa mfano idd elfitr je napo vyuma vilikaza?

Ni lazima tuishi kama watanzania halisi...more than 70% ya watanzania ni wakulima masikini je kwa miaka yote walikuwa wanasherekea christmas kivipi??

Milokaziwa vyuma ni ninyi mliozoea kutanua nyakati za christmas baada ya kuwaibia wanyonge.

VIVA MAGUFULI
 
Washushe bei ya nguo ...by the way christmass ni sherehe ya kimagharibi ...je Tanzania ina waislamu na wapagani wangapi wasiosheherekea christmas?

Zipo sikukuu kadhaa mfano idd elfitr je napo vyuma vilikaza?

Ni lazima tuishi kama watanzania halisi...more than 70% ya watanzania ni wakulima masikini je kwa miaka yote walikuwa wanasherekea christmas kivipi??

Milokaziwa vyuma ni ninyi mliozoea kutanua nyakati za christmas baada ya kuwaibia wanyonge.

VIVA MAGUFULI
Sijaelewa hata ulichosema
 
Mkuu tunaogopa kuchangia, hairuhusiwi kusema vyuma vimefanya nini sijui, hairuhusiwi mkuu, tuwe makini tusivunje sheria mpya iliyowekwa majuzi.
Mimi nasema tena kwa herufi kubwa VYUMA VIMEBANA NIKAMATENI KAMA HILO NI KOSA.
 
Wakuu kiukweli katika nchi hii kuna changamoto kali sana ya vyuma ( usiseme vyuma vimekaza ili kutii agizo la Mh rais ) , hali ya wafanyabiashara ya nguo na mapambo jijini DSM Imefeli kwa kiwango cha kuvunja rekodi ya tangu enzi .

Kwa mujibu wa wafanyabiashara waliohojiwa na Channel 10 wamekiri kuvunjwa kwa rekodi ya ukata kwenye Xmass zote tangu waanze biashara .

Mbisha wengi ni mchawi .
Huko mnakoelekea mtajikuta mmesema vyuma vi-me-e-e-e-k????
 
  • Thanks
Reactions: 454
Washushe bei ya nguo ...by the way christmass ni sherehe ya kimagharibi ...je Tanzania ina waislamu na wapagani wangapi wasiosheherekea christmas?

Zipo sikukuu kadhaa mfano idd elfitr je napo vyuma vilikaza?

Ni lazima tuishi kama watanzania halisi...more than 70% ya watanzania ni wakulima masikini je kwa miaka yote walikuwa wanasherekea christmas kivipi??

Milokaziwa vyuma ni ninyi mliozoea kutanua nyakati za christmas baada ya kuwaibia wanyonge.

VIVA MAGUFULI
We jamaa kwa haiba, utashi, nguvu, uthubutu, kujitoa, utayari ulionao katika kumtetea mkuu laiti ungekuwa navyo kwenye kupambana na maisha binafsi saa hizi nakuapia ungekuwa ka Mengi au Dewji kama sio Dangote kabisa.
 
Back
Top Bottom