Ugumu wa kozi ya computer science

Amiry mafuzu

New Member
Jun 14, 2019
2
0
Habari wakuu nimechaguliwa kwenda kusoma BSc ya COMPUTER SCIENCE lakini nimekuwa nikisikia sikia kwamba kozi hii huwa ni ngumu.

Sasa naombeni wakuu mnisaidie ni ugumu gani upo kwenye kozi hii na vitu gani vya kuzingatia kwenye hii kozi?
 
Vya kuzingatia ni masomo, nikipata wasaha mzuri ntakupa dondoo kidogo
 
Maths zipo za kutosha lakini zaidi lazima uwe na analytical brain, high problem solving skills, high imagination.

Kama ulizoea kusoma kwa kukariri acha mapema.

Kwenye computer science mainly ni
MATHEMATICS hasa CALCUS, ALGEBRA, DESECRETE MATHEMATICS,nk..
SYSTEM DESIGN, ANALYSIS AND TROUBLESHOOTING,
PROGRAMMING,
NETWORKING,
DATABASE ADMINISTRATION,

Yote yanawezekana ila jitahidi tafuta prospectus mapema pitia huoa courses utakazo soma katika Computer Science. Jitahidi uwe na computer hata ya laki 2 na elfu 80, ila kama una uwezo nunua computer yenye specifications nzuri. Anza kupitia you tube upate overview about the computer, how the data is input and stored, the architecture of the computer and its systems, OS na mambo madogo madogo. Utajikuta unaanza kuwa excited kabla hujaanza hata chuo lkn mziki wake unataka a committed person
 
Maths zipo za kutosha lakini zaidi lazima uwe na analytical brain, high problem solving skills, high imagination.

Kama ulizoea kusoma kwa kukariri acha mapema.

Kwenye computer science mainly ni
MATHEMATICS hasa CALCUS, ALGEBRA, DESECRETE MATHEMATICS,nk..
SYSTEM DESIGN, ANALYSIS AND TROUBLESHOOTING,
PROGRAMMING,
NETWORKING,
DATABASE ADMINISTRATION,

Yote yanawezekana ila jitahidi tafuta prospectus mapema pitia huoa courses utakazo soma katika Computer Science. Jitahidi uwe na computer hata ya laki 2 na elfu 80, ila kama una uwezo nunua computer yenye specifications nzuri. Anza kupitia you tube upate overview about the computer, how the data is input and stored, the architecture of the computer and its systems, OS na mambo madogo madogo. Utajikuta unaanza kuwa excited kabla hujaanza hata chuo lkn mziki wake unataka a committed person
Mkuu, umenena vizuri hujakosea
Mm ni zao la computer science najivunia
 
Maths zipo za kutosha lakini zaidi lazima uwe na analytical brain, high problem solving skills, high imagination.

Kama ulizoea kusoma kwa kukariri acha mapema.

Kwenye computer science mainly ni
MATHEMATICS hasa CALCUS, ALGEBRA, DESECRETE MATHEMATICS,nk..
SYSTEM DESIGN, ANALYSIS AND TROUBLESHOOTING,
PROGRAMMING,
NETWORKING,
DATABASE ADMINISTRATION,

Yote yanawezekana ila jitahidi tafuta prospectus mapema pitia huoa courses utakazo soma katika Computer Science. Jitahidi uwe na computer hata ya laki 2 na elfu 80, ila kama una uwezo nunua computer yenye specifications nzuri. Anza kupitia you tube upate overview about the computer, how the data is input and stored, the architecture of the computer and its systems, OS na mambo madogo madogo. Utajikuta unaanza kuwa excited kabla hujaanza hata chuo lkn mziki wake unataka a committed person
Umeandika ukweli mtupu
 
Maths zipo za kutosha lakini zaidi lazima uwe na analytical brain, high problem solving skills, high imagination.

Kama ulizoea kusoma kwa kukariri acha mapema.

Kwenye computer science mainly ni
MATHEMATICS hasa CALCUS, ALGEBRA, DESECRETE MATHEMATICS,nk..
SYSTEM DESIGN, ANALYSIS AND TROUBLESHOOTING,
PROGRAMMING,
NETWORKING,
DATABASE ADMINISTRATION,

Yote yanawezekana ila jitahidi tafuta prospectus mapema pitia huoa courses utakazo soma katika Computer Science. Jitahidi uwe na computer hata ya laki 2 na elfu 80, ila kama una uwezo nunua computer yenye specifications nzuri. Anza kupitia you tube upate overview about the computer, how the data is input and stored, the architecture of the computer and its systems, OS na mambo madogo madogo. Utajikuta unaanza kuwa excited kabla hujaanza hata chuo lkn mziki wake unataka a committed person
thanks mkuu
 
Kwa sisi tulio pitia frm6 nmesikia ndio kunakua na ugumu kuliko wa lio pitia diploma....pia walio pita diploma wanakua na advantage ya kumudu kozi hii.....plz nipe uthibitisho wa hizi kauli ili nijue chaku fanya kabla
Maths zipo za kutosha lakini zaidi lazima uwe na analytical brain, high problem solving skills, high imagination.

Kama ulizoea kusoma kwa kukariri acha mapema.

Kwenye computer science mainly ni
MATHEMATICS hasa CALCUS, ALGEBRA, DESECRETE MATHEMATICS,nk..
SYSTEM DESIGN, ANALYSIS AND TROUBLESHOOTING,
PROGRAMMING,
NETWORKING,
DATABASE ADMINISTRATION,

Yote yanawezekana ila jitahidi tafuta prospectus mapema pitia huoa courses utakazo soma katika Computer Science. Jitahidi uwe na computer hata ya laki 2 na elfu 80, ila kama una uwezo nunua computer yenye specifications nzuri. Anza kupitia you tube upate overview about the computer, how the data is input and stored, the architecture of the computer and its systems, OS na mambo madogo madogo. Utajikuta unaanza kuwa excited kabla hujaanza hata chuo lkn mziki wake unataka a committed person
 
Back
Top Bottom