Ugumu huu wa maisha ni kwangu tu au hata kwako?

Rahim Jr

JF-Expert Member
May 16, 2015
561
281
Wakuu amani iwe nanyi poleni na majukum ya kila siku. Class mate wangu ameniuliza swali kiukweli nmeshindwa kumjibu. Anasema tangu ameajiriwa miaka 7iliyopita hajawahi kuishi kwa kutegemea dili au rushwa kazini kwake,kipato chake ni mshahara tu.Sasa anasema kwa mwaka huu mambo yamekuwa magumu sana,hawezi kufanya maendeleo yoyote zaidi ya kulipa madeni tu.Na kila siku ugumu wa maisha kwake unaongezeka sana,sasa ananiuliza hii hali ni kwake tu au hata kwangu??? Je kwako hali ikoje.......
 
Wakuu amani iwe nanyi poleni na majukum ya kila siku. Class mate wangu ameniuliza swali kiukweli nmeshindwa kumjibu. Anasema tangu ameajiriwa miaka 7iliyopita hajawahi kuishi kwa kutegemea dili au rushwa kazini kwake,kipato chake ni mshahara tu.Sasa anasema kwa mwaka huu mambo yamekuwa magumu sana,hawezi kufanya maendeleo yoyote zaidi ya kulipa madeni tu.Na kila siku ugumu wa maisha kwake unaongezeka sana,sasa ananiuliza hii hali ni kwake tu au hata kwangu??? Je kwako hali ikoje.......
Mkuu kwangu Mimi saf maish laini sana, si umeona mpaka natafuta mwenzangu
 
Wakuu amani iwe nanyi poleni na majukum ya kila siku. Class mate wangu ameniuliza swali kiukweli nmeshindwa kumjibu. Anasema tangu ameajiriwa miaka 7iliyopita hajawahi kuishi kwa kutegemea dili au rushwa kazini kwake,kipato chake ni mshahara tu.Sasa anasema kwa mwaka huu mambo yamekuwa magumu sana,hawezi kufanya maendeleo yoyote zaidi ya kulipa madeni tu.Na kila siku ugumu wa maisha kwake unaongezeka sana,sasa ananiuliza hii hali ni kwake tu au hata kwangu??? Je kwako hali ikoje.......
Hii mada imepangwa makusudi kutuaminisha hali imekuwa mbaya kisa serikali ya Magufuli. Mnapotunga mada kuweni makini. Huyo anayeuliza hilo swali anakiri kipato chake tangu aajiriwe miaka 7 iliyopita ni halali na hajawahi kuonja utamu wa hela ya dili. Lakini hakueleza ikiwa katika hiyo miaka 7 amewahi kukopa ama la. Na huu mkopo anaosema unasababisha alipe madeni ameukopa lini? Je ni baada ya Magufuli kuingia madarakani ndipo amekopa ama alikopa kabla? Na kama alikopa kabla ya serikali ya Magufuli kuingia madarakani basi atakuwa anatudanganya kuhusu mshahara wake kwa sababu haiwezekani akope na mshahara ukatwe kulipia deni kisha asisikie maumivu ya ugumu wa maisha bali eti maumivu anayasikia mwaka huu tu kisa Serikali ya Magufuli imeingia madarakani.......! Kutakuwa kuna namna alikuwa akiishi kufidia maumivu ya mkopo. Kwani kimebadilika nini katika kipato chake? Atakuwa anatudanganya tu na mada aliyoitunga kuhalalisha ugumu wa maisha kusababishwa na serikali ya Magufuli ni mada iliyofeli. Ukikopa lazima ukatwe kulipa deni sasa labda atuambie alipokopa zile hela alizifanyia nini mpaka eti sasa hivi ameanza kuona ugumu wa maisha? Na kama amekopa baada ya serikali kuingia madarakani basi asidhani serikali ndio imesababisha alipe madeni bali ni mkopo ndio umesababisha ugumu wa maisha. Maana huwezi kulipa deni linalosababishwa na ugumu wa maisha uliosababishwa na serikali bali deni husababishwa na mkopo!!!!Hakuna mkopo usio na maumivu!!!
 
Huyo analipa Education loan. Waajiriwa wengi hayo makato hawayaoni. 8% si mchezo mchezo. Kwa mwaka ni zaidi ya hela ya kupeleka watoto shule
 
Tatizo, I wana kazi wengi wa selikali na makampuni wana tegemea sana mshahala wa mwisho Wa mwezi ukweli utabaki pale pale Hat uwe unalipwa 1.5mils utafika hatua utasema sina hela b'se hela yako ww ni ya kutoa tyu sio kuingiza. Ushauli wangu tusitegemee sana mishahala yetu na ndio maana sasa hiv kila chuo ambacho kipo chini ya nacte. Huto soma la itaprinueship. Ilimladi tu mfanya kazi asiwe tegemezi
 
Wakuu amani iwe nanyi poleni na majukum ya kila siku. Class mate wangu ameniuliza swali kiukweli nmeshindwa kumjibu. Anasema tangu ameajiriwa miaka 7iliyopita hajawahi kuishi kwa kutegemea dili au rushwa kazini kwake,kipato chake ni mshahara tu.Sasa anasema kwa mwaka huu mambo yamekuwa magumu sana,hawezi kufanya maendeleo yoyote zaidi ya kulipa madeni tu.Na kila siku ugumu wa maisha kwake unaongezeka sana,sasa ananiuliza hii hali ni kwake tu au hata kwangu??? Je kwako hali ikoje.......
Kama alikua hatumii rushwa wala madili, na alikua ana tumia mshahara tu kwann akwame? mshahara umepungua? familia imeongezeka? au majukumu yame ongezeka? muulize frsh tu lazma sababu iwepo mkuu
 
Hamna namna, kila kona ni zaidi ya tetemeko. Unakopa unalipa mwisho wa mwezi, siku zinasogeamo

Ha ha ha ha umenichekesha, eti "kila kona ni zaidi ya tetemeko"


Dah! Ngoja niongeze Heineken ya Pili kwaajili yako
 
Daah kwa hali ilivyo sasa kitaa ama kweli tunazilipa zile Pushups alizopiga Mh.

Na sasa tupo ya 8 tu wakati mkuu wa kaya alipiga 50.

Kwa kweli kuzilipa zile tunataka machozi, Jasho na damu hii miaka 5 maana kila mwaka tunatakiwa tupige 10.

Yaani ni kuisoma namba tu, hamna namna nyingine.
 
Daah kwa hali ilivyo sasa kitaa ama kweli tunazilipa zile Pushups alizopiga Mh.

Na sasa tupo ya 8 tu wakati mkuu wa kaya alipiga 50.

Kwa kweli kuzilipa zile tunataka machozi, Jasho na damu hii miaka 5 maana kila mwaka tunatakiwa tupige 10.

Yaani ni kuisoma namba tu, hamna namna nyingine.
te te te te Tupambane tu Mkuu hii hali yampito tu,tufunge mkanda
 
Wakuu amani iwe nanyi poleni na majukum ya kila siku. Class mate wangu ameniuliza swali kiukweli nmeshindwa kumjibu. Anasema tangu ameajiriwa miaka 7iliyopita hajawahi kuishi kwa kutegemea dili au rushwa kazini kwake,kipato chake ni mshahara tu.Sasa anasema kwa mwaka huu mambo yamekuwa magumu sana,hawezi kufanya maendeleo yoyote zaidi ya kulipa madeni tu.Na kila siku ugumu wa maisha kwake unaongezeka sana,sasa ananiuliza hii hali ni kwake tu au hata kwangu??? Je kwako hali ikoje.......
Huyo jamaa yako atakuwa na ugonjwa wa akili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom