KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Pole sana.
Kunywa na ogea mchunga.
Kunywa juice ya ukwaju kutwa mara tatu.
Vikishapona na kukauka, utakuwa na madoa mwili mzima. ivo itakubidi upake mafuta ya bio oil mwili mzima asubuhi na jioni kwa muda wa miezi 3, Madoa yote yatatoka.
naongei ivo kwa uzoefu.
Kunywa na ogea mchunga.
Kunywa juice ya ukwaju kutwa mara tatu.
Vikishapona na kukauka, utakuwa na madoa mwili mzima. ivo itakubidi upake mafuta ya bio oil mwili mzima asubuhi na jioni kwa muda wa miezi 3, Madoa yote yatatoka.
naongei ivo kwa uzoefu.