Penologist
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 788
- 1,904
Amani iwe nanyi wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu.Ugonjwa juu usiokuwa na jina la kitaalamu umenisumbua kwa mwaka sasa.Niliambukizwa nilipofika morogoro kufanya research.Baada ya kumaliza shuhuli zangu nilifika mzumbe mtaa wa changarawe na kukaa kwa miezi miwili nikiandaa report.Hapo ndipo nilipo kutana na binti mmoja sikulaza damu nikamtongoza akanielewa akaanza kuwa anakuja kwangu nilipopanga.Kabla hatujakutana kimwili alipendekeza tukapime kituo cha karibu hapohapo mzumbe tukapima HIV wote tuko negative.
.
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu.Ugonjwa juu usiokuwa na jina la kitaalamu umenisumbua kwa mwaka sasa.Niliambukizwa nilipofika morogoro kufanya research.Baada ya kumaliza shuhuli zangu nilifika mzumbe mtaa wa changarawe na kukaa kwa miezi miwili nikiandaa report.Hapo ndipo nilipo kutana na binti mmoja sikulaza damu nikamtongoza akanielewa akaanza kuwa anakuja kwangu nilipopanga.Kabla hatujakutana kimwili alipendekeza tukapime kituo cha karibu hapohapo mzumbe tukapima HIV wote tuko negative.
.