Jamani wan JF.
Hebu tusaidiane juu ya hili.Idadi kubwa ya watu wazima hivi sasa wanasumbuliwa na kuumwa miguu hasa sehemu za magoti na maumivu ya mifupa ya miguu.
Baba mkwe wangu,baba yangu, mama, bibi yangu wote hadi leo wanasumbuliwa na miguu pamoja na kutibiwa mahospitali kadhaa kwa dawa mbalimbali.
Nakosa imani sasa na dawa za hospitali juu ya ugonjwa huu.Tafadhali msaada
Hebu tusaidiane juu ya hili.Idadi kubwa ya watu wazima hivi sasa wanasumbuliwa na kuumwa miguu hasa sehemu za magoti na maumivu ya mifupa ya miguu.
Baba mkwe wangu,baba yangu, mama, bibi yangu wote hadi leo wanasumbuliwa na miguu pamoja na kutibiwa mahospitali kadhaa kwa dawa mbalimbali.
Nakosa imani sasa na dawa za hospitali juu ya ugonjwa huu.Tafadhali msaada