SINGLE MAN
Member
- Jul 1, 2012
- 38
- 6
JF Dictors naomba mnisaidie, mwanangu ana miaka mitatu anasumbuliwa sana na mafua na kikohozi. Nampa dawa anapona baada ya wiki mbili au tatu ugonjwa uNarudi.
Nifanyeje jamani? Msaada tafadhali.
Nifanyeje jamani? Msaada tafadhali.