Wadau naombeni msaada wenu, mimi nina tatizo la macho macho yangu yalianza kuwasha miezi kama miwili iliyopita, nikaenda hospital Regency nikapewa dawa ya matone(drops) nikaambiwa nitumie siku 7.
Baada ya siku 7 kuisha nikaenda tena nikabadilishiwa dawa nikapewa ya kutumia mwezi mzima.
Nimetumia hiyo dawa macho yakawa hayawashi isipokuwa mpaka sasa nasumbuliwa na kutoka matongotongo hasa asubuhi na inapofika jioni/usiku macho yanakuwa kama na ukungu fulani.
Tafadhalini sana wataalamu naombeni ushauri nifanyeje?
Baada ya siku 7 kuisha nikaenda tena nikabadilishiwa dawa nikapewa ya kutumia mwezi mzima.
Nimetumia hiyo dawa macho yakawa hayawashi isipokuwa mpaka sasa nasumbuliwa na kutoka matongotongo hasa asubuhi na inapofika jioni/usiku macho yanakuwa kama na ukungu fulani.
Tafadhalini sana wataalamu naombeni ushauri nifanyeje?