Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma uzi vizuri,halafu utoe komenti ukitaka,au umeshaathirika tayari?Kama tayari mpe anayekuuguza akomenti,samahani lakini.kiharusi???to The best of my KNOWLADGE harusi hushangiliwa kwa kupungiwa mikono,.na wengine hunyanyua miguu...wagonjwa ni wengi,.....
UJUE UGONJWA WA KIHARUSI/STROKE DALILI ZAKE PAMOJA NA TIBA
STROKE (KIHARUSI)
Kiharusi ni ugonjwa ambao husababishwa na kufa kwa cell za ubongo.Kuna aina mbili za kiharusi.1.Kiharusi cha aina ya kwanza kinachoitwa ischemic hichi husababishwa na kuziba kwa mishipa ya damu baada ya mishipa hiyo kujaamafuta(cholesterol) na kusababisha damu kutofika vzr kwenye ubongo kama unavyoona kwenye kimchoro cha juu.2.Kiharusi cha aina ya pili kinachoitwa hemorrhagic hiki husababishwa na kupasuka kwa baadhi ya mishipa ya damu kwenye ubongo kama unavyoona mchoro wa chini na kusababisha damu kusambaa kwenye ubongo na kusababisha mmbonyeo ndani ya ubongo na kusababisha kiharusi.watu wenye presha wako kwenye hatari kubwa ya kupata kiharusi na kiharusi huuwa haraka sana.Kiharusi kiko hivi kama ubongo wa upande wa kulia ndio utakaoathirika basi utapararaiz upande wa kushoto,na kama ubongo utaathirika upande wa kushoto basi utapararaizi upande wa kulia.
DALILI ZA KIHARUSI
1.kupooza mguu au mkono.
2.Kuchanganyikiwa kupata shida kuongea au kuelewa.hapa utakuta mnamgonjwa halafu inafikia kipindi anakuwa kama kachanganyikiwa anaongea yasioeleweka na pia anapoteza kumbukumbu,anaweza kuja kumuona mtoto wake kabisa halafu akamuuliza wewe ni nani.
3.kutokuona jicho moja au yote.
4.kuumwa kichwa kikali mara kwa mara pasipojua chanzo.
5.kichefuchefu cha ghafla kuwa na homa na kutapika muda mrefu.
KIHARUSI KINATIBIKA/ pia unaweza tumia kinga
Karibu kituoni kwetu utapata tiba sahihi na kinga ya kiharusi pia tuna huduma ya massage Gharama yake Ni TSH 10,000 tuu.
1.Isomalto
2.Broken gano
derma
3.Fish oil
4.lecithin
5.Gyngkotea
Tibu_kiharusi_Mawasiliano.
0718069047/0688184620.
Asante sana Mkuu.UJUE UGONJWA WA KIHARUSI/STROKE DALILI ZAKE PAMOJA NA TIBA
STROKE (KIHARUSI)
Kiharusi ni ugonjwa ambao husababishwa na kufa kwa cell za ubongo.Kuna aina mbili za kiharusi.1.Kiharusi cha aina ya kwanza kinachoitwa ischemic hichi husababishwa na kuziba kwa mishipa ya damu baada ya mishipa hiyo kujaamafuta(cholesterol) na kusababisha damu kutofika vzr kwenye ubongo kama unavyoona kwenye kimchoro cha juu.2.Kiharusi cha aina ya pili kinachoitwa hemorrhagic hiki husababishwa na kupasuka kwa baadhi ya mishipa ya damu kwenye ubongo kama unavyoona mchoro wa chini na kusababisha damu kusambaa kwenye ubongo na kusababisha mmbonyeo ndani ya ubongo na kusababisha kiharusi.watu wenye presha wako kwenye hatari kubwa ya kupata kiharusi na kiharusi huuwa haraka sana.Kiharusi kiko hivi kama ubongo wa upande wa kulia ndio utakaoathirika basi utapararaiz upande wa kushoto,na kama ubongo utaathirika upande wa kushoto basi utapararaizi upande wa kulia.
DALILI ZA KIHARUSI
1.kupooza mguu au mkono.
2.Kuchanganyikiwa kupata shida kuongea au kuelewa.hapa utakuta mnamgonjwa halafu inafikia kipindi anakuwa kama kachanganyikiwa anaongea yasioeleweka na pia anapoteza kumbukumbu,anaweza kuja kumuona mtoto wake kabisa halafu akamuuliza wewe ni nani.
3.kutokuona jicho moja au yote.
4.kuumwa kichwa kikali mara kwa mara pasipojua chanzo.
5.kichefuchefu cha ghafla kuwa na homa na kutapika muda mrefu.
KIHARUSI KINATIBIKA/ pia unaweza tumia kinga
Karibu kituoni kwetu utapata tiba sahihi na kinga ya kiharusi pia tuna huduma ya massage Gharama yake Ni TSH 10,000 tuu.
1.Isomalto
2.Broken gano
derma
3.Fish oil
4.lecithin
5.Gyngkotea
Tibu_kiharusi_Mawasiliano.
0718069047/0688184620.
Vyakula vyenye Cholestrol ndio chanzo, kuna forensic autopsy ilifanyika mwaka 1960, kuangalia maiti 300 Uganda na 300 USA (same age na gender) out of 300 in Uganda mmoja tu ndo alikuwa anaonekana alikuwa na matatizo ya moyo kutokana na cholestral ila out of 300 in USA 164 walikuwa wamefariki kutokana na uwepo wa cholestral kwenye moyo. Waka ongeza idadi ya maiti kwa uganda mpaka nadhani 800 issue ikawa ile ile........conclusion ikaonekana ni diet ya watu wa USA inakuwa na vyakula vyenye cholestral nyingi kwa vile ni animal based diets from breakfast to dinner wakat Uganda ni plant based diet from morning to evening and rarely nyama......nadhani emotional, psychological factors na physical shocks ni triggers tu sio causes.........kumbuka accumulation ya cholestral kwenye mishipa inaanza tangu ukiwa mdogo and slowly inaongezeka.....KARDINALI!
What a good expanation! and very usefully... Imeeleweka vema sana.
Just a simple inquiry... Vipi mchango wa emotional factors, psychological au physical shocks ... nafikiri hazina uhusiano wa moja kwa moja labda kupitia risk factor ulizotaja au?
Swala la kurithi nalitilia shaka, magonjwa mengi yanasababishwa na life style tuliyo nayo especially chakula na sii genetics........Kiharusi ni ugonjwa mkali wa mishipa ya damu kwenye ubongo unaohatarisha vibaya afya na maisha ya binadamu. Takwimu husika zimeonesha kuwa, kila mwaka watu milioni 1.5 wanapatwa na ugonjwa huo nchini China, na nusu kati yao wanakufa kutokana na ugonjwa huo, na watu wengi wanaopona wanapoteza uwezo wa kufanya kazi kwa viwango tofauti. Hali hiyo imesababisha mzigo mkubwa kwa familia na jamii.
Mzee Wang Qinmei mwenye umri wa miaka 65 ana afya njema na hakuwahi kupatwa magonjwa makubwa. siku moja asubuhi katika majira ya mchipuko mwaka huu, alienda sokoni kwa baisikeli kununua chakula kama kawaida, ghafla alijisikia kizunguzungu na akapoteza fahamu. Baada ya muda mfupi, alipata fahamu na kuomba msaada kutoka kwa wapita njia na akapelekwa hospitali.
Katika chumba cha huduma ya kwanza, daktari alithibitisha haraka ugonjwa uliompata mzee Wang. Daktari wa upasuaji wa mishipa ya damu kwenye ubongo katika hospitali ya 301 ya jeshi la ukombozi wa watu wa China Bw. Wang Jun alisema:
"baada ya kumfanyia upimaji wa CTA, tuligundua sehemu moja nyembamba katika mishipa mikubwa ya damu iliyoko shingoni, na asilimia 90 ya sehemu hiyo ya mishipa ya damu imezibwa. Hali hiyo ni ya hatari sana."
Tatizo la wembamba wa mishipa ya damu ya shingoni ni chanzo kikubwa cha ugonjwa wa kiharusi wa aina ya kukosa damu kwenye ubongo. Asilimia 60 ya wagonjwa wa ugonjwa huo wanatokana na tatizo la kuzibwa kwa mishipa ya damu ya shingoni. Pamoja na kuzidi kuziba kwa mishipa ya damu, dalili za ugonjwa huo zinaonekana kidhahiri na wazi zaidi, hatimaye zinasababisha kiharusi kibaya. Kwa kuwa asilimia 90 ya mishipa ya damu ya shingoni inakuwa imeziba, hali hiyo inaufanya ubongo ukose damu na oksijen, na dalili mbalimbali za ugonjwa huo zote zinasababishwa na tatizo hilo.
Mbali na kiharusi cha kukosa damu kwenye ubongo, aina nyingine ni kiharusi cha kutokwa damu kwenye ubongo. Chanzo kikubwa ni shinikizo kubwa la damu linalosababisha mishipa midogo ya damu kwenye ubongo ivimbe na kupasuka.
Kwanza, ugonjwa wa kiharusi unahusiana na umri na jinsia. Kwa kawaida, watu wenye umri wa zaidi ya miaka 55 wana hatari kubwa zaidi ya kupatwa na kiharusi, na hatari ya kupatwa ugonjwa huo kwa wanaume ni asilimia 50 zaidi kuliko wanawake. Ya pili, ugonjwa huo ni wa kurithi. Aidha, magonjwa ya shinikizo kubwa la damu, kisukari, tatizo la moyo, tatizo la kuwa na uzito kupita kiasi, kuvuta sigara na kunywa pombe zote zinaweza kusababisha kiharusi.
Kwa kawaida, kuna dalili kadhaa zinaonekana kabla ya kutokea kwa kiharusi. Mkurugenzi wa idara ya upasuaji wa mishipa ya damu katika hospitali ya 301 ya jeshi la China Bw. Li Baomin alisema:
"kabla ya kutokea kwa kiharusi, mgonjwa hujisikia kizunguzungu, mwasho kwenye mikono na miguu, na kutoona vizuri. Baada ya muda, hisia hiyo itaisha au itarejea tena. Kama una dalili hizo, ni lazima uchukue tahadhari."
Bw. Li alisema, kama dalili hizo zinatokea mara kwa mara katika siku moja au mbili, na pia una shinikizo kubwa la damu au ugonjwa wa kisukari au ugonjwa wa kurithi, unapaswa kwenda hospitali mara moja kufanyiwa uchuguzi. Hivi sasa, ugonjwa wa kiharisi unaweza kuthibitishwa mapema na kwa usahihi.
Basi kama wagonjwa wakipatwa na kiharusi nyumbani au kwenye sehemu za hadhara tutafanyaje? Watalaamu wanaeleza kuwa, kiharusi kinatokea ghafla, wagonjwa wanaweza kupoteza fahamu, kuanguka, kutikisika au kushindwa kuongea. Watu huchanganyikiwa wakati hali hiyo ikitokea, na hata wanakuwa hawajui la kufanya. kwa kawaida, watawaamsha hata kuwatingisha wagonjwa. Vitendo hivyo vinaweza kuwadhuru wagonjwa hao, hata vinafanya hali yao iwe mbaya zaidi.
Kama mtu akipatwa kiharusi, kwanza jamaa zake wasihangaike, bali wanatakiwa kumtuliza mgonjwa, na ni afadhali wasimwamshe alipo, lakini wanatakiwa kumwita daktari mara moja. na ni bora walegeze nguo za ndani za mgonjwa, hatua hiyo inamsaidia mgonjwa kupumua bila tatizo. Kama mgonjwa akitikisika, hali hiyo ni mbaya, ni lazima wamshtue. Kwa kuwa wakati huo, mgonjwa anaweza kujiuma ulimi, hivyo ni afadhari wazibe mdomo wa mgonjwa kwa nguo. Wagonjwa wengi wa kiharusi wanatapika, ili kuzuia wagonjwa kama hao wasijizibie koo, ni bora kuwalaza shingo upande. Kama matapishi yakibaki mdomoni, ni lazima yatolewe mdomoni kwa vijiti, na kama mgonjwa huyo ana meno bandia, inapaswa kuyatoa ili yasije yakaingia kooni.
Zamani ugonjwa wa kiharusi ulikuwa unatibiwa kwa upasuaji, hivi sasa unatibiwa kwa matibabu yenye usalama, ufanisi na rahisi zaidi. Matibabu hayo ni kuingiza mrija mdogo kwenye mshipa mkubwa wa damu wa pajani na kuifikisha kwenye sehemu yenye tatizo mwilini na kutibu. Kwa kuwa kipenyo cha mshipa mkubwa wa damu ni milimita 15 hivi, na kipenyo cha mirija ni milimita 2 tu, hivyo mrija huo unaweza kupita kwenye mishipa ya damu bila tatizo. Mbali na hayo, kutokana na kuwa hakuna nevu za hisia ndani ya mishipa ya damu, basi wagonjwa hawasikii maumivu.
Mzee Wang Qinmei alitibiwa kwa matibabu hayo. Daktari aliweka chombo maalum cha kupanua mshipa wa damu ndani ya sehemu ya mshipa mkubwa wa damu wa shingoni kwake iliyozibwa kwa kutumia mirija. Mzee Wang alisema:
"Baada ya kuwekewa chombo cha kupanua mshipa wa damu, nilisikia damu inapita vizuri, ghafla hisia ya kizunguzungu iliondoka mara moja."
Matibabu hayo hayahitaji kuwapa wagonjwa nusukaputi ya mwili mzima. Wagonjwa wanaweza kutibiwa wakiwa na fahamu vizuri. Pia kwa kuwa matibabu hayo yanaleta majaraha madogo tu, basi wagonjwa wanaweza kutembea saa 24 tu baada ya matibabu. Hivi sasa, wagonjwa wengi zaidi wa kiharusi wanachagua matibabu hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved.
16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040
china radio international
aminaAllah atulinde na haya magonjwa na mengineyo
Nmejifunza kitu kwa hizi pathophysiologyWakati wa sherehe msichana mmoja kwa mashaka na alianguka. Aliombwa aitiwe ambulance, lakini yeye alimwakikishia kila mtu kuwa kila kitu ni sawa na kwamba yeye kajigonga kwa sababu tu ya viatu vipya.
Kwa vile alionekana kuwa na wasiwasi na kuwa anatetemeka kidogo, walimsaidia kumfuta na kumpatia maji ya kunywa. Siku yote baadae msichana huyu aliendelea vizuri na kuonenekana kidogo mwenye furaha. Baadae mume wa msichana amlipigia simu kila kila mtu na kusema kuwa mkewe alikuwa kapelekwa hospitali na Saa 23:00 alifariki. Katika sherehe ile yule msichana alishikwa na kiharusi (acute ischemic stroke)
Kama watu waliokuwa katika sherehe ile wangelijua jinsi ya kuangalia ishara za kiharusi,yule msichana angaliweza kuwa bado anaishi.
Baadhi ya watu baada ya kupata ugonjwa huu wa kiharusi hawafi hapo hapo. mara nyingi wanakutwa katika hali ambayo wanaweza saidiwa au hata kujisaidia wenyewe.
Huu hapa ni ushauri wa kufanya ili kumsaidia mtu nayepatwa ka kiharusi.
Daktari husema kwamba kama ni ndani ya saa 3 tangu mwathirika wa kiharusi hapate hizo dalili, matokeo ya mashambulizi yanaweza kuondolewa. Kitu cha muhimu ni kugundua na kutambua kiharusi na kuanza matibabu ndani ya masaa ya kwanza 3 - ambayo kwa hakika si rahisi wengi wetu.
Kutambua kiharusi: Kuna njia 4 za kutambua kiharusi.
- Uliza mtu kutabasamu (atashindwa kutabasamu)
- Uliza kusema sentensi rahisi (kwa mfano "Leo hali ya hewa ni nzuri")
- Mwulize kuinua mikono miwili (hawawezi au nusu tu na uwezo wa kuchukua)
- Mwulize kuweka nje ulimi (kama ulimi umeeleka upande mwingine an haurudi sawa hiyo pia ni dalili ya kiharusi.)
Kama matatizo haya yanajitokeza, na hata kama ni dalili moja kati ya hizo hapo juuni vema kwa haraka zaidi kumpeleka mgonjwa hospitalini, au kama kuna uwezekano ita ambulance.
ukituma ujumbe huu katika sehemu au kwa watu kumi unaweza okoa maisha ya watanzania wengi.
Tupe shule mkuu, hilo somo muhimu sanaChief nikukumbushe tu tuna vitu viwili we have stroke na we have transient ischaemic attack..hivi vitu viwili vnatofautishwa na how long the attack lasts for....
Mkuu Magome ya mlonge hayawezi kumsaidia kupona maradhi yake. maradhi yake yanasababishwa kwenye ubongo mishipa ya fahamu kwenye ubongo haina mawasiliano na mishipa ya kiganja cha mkono.Jaribu hii ponda mizizi au magome ya mlonge mfunge kwa bandeji usikaze kwa dk 10-15 akihisi joto/Moto mfungue ondoa hiyo dawa asubiri kwa siku 3 uone maendeleo yake Kisha Leta mrejesho hapa jf
Bro nauguz ata kuandk najikZ hope nimeleweka.Pole, japo uandishi wako ni very poor.