Tatizo la Kizunguzungu: Fahamu chanzo, dalili na tiba yake

Niki kaa au nikichumaa kwa mda mrefu nikisimama napata kizunguzungu

Hali ambayo hunipelekea nishindwe kufanya chochote mpaka zikipita dakika moja au mbili ndipo akili hujirudi

Hii ni dalili ya ugonjwa gani maana hali hii ilikuwa ikinitokea mara moja moja ila kwa siku za karibuni imekua mfululizo.

Wasalaam.

Mara ya mwisho kupima kiasi cha damu ulikuwa na Hb ya ngapi?
 
Jijengee mazoea ya kula Vyakula vya kuongeza damu mara kwa mara .. Beetroot pia ukipata juice ya choya siyo mbaya ... Pia Tafuta Mboga mbg za majani sanasana Matembele na mchicha usiive saana .. Itasaidia ..
Kama siyo mpenz wa kula hivyo vyakula . Usijali

Ipo Dawa inayorudisha Damu ndani ya week moja tu ... Unakaa sawa .
 
Nikikaa au nikichumaa kwa muda mrefu nikisimama napata kizunguzungu

Hali ambayo hunipelekea nishindwe kufanya chochote mpaka zikipita dakika moja au mbili ndipo akili hujirudi

Hii ni dalili ya ugonjwa gani maana hali hii ilikuwa ikinitokea mara moja moja ila kwa siku za karibuni imekuwa mfululizo.

Wasalaam.

Kwanza unapokuwa umelalal'kuchuchumaa au umekaa kwa mda mrefu damu nyingi inakuwa upande wa wa chini(lower extremities) so supply kwenye ubongo inakuwa ni kidogo.sasa unapoamka ghafla au kunyanyuka ghafla lazima upate kizungu zungu na unaweza dodondoka since brain has low blood supply.Jitahd unaamka,simama taratibu kama ulikuwa umekaa kwa mda mrefu.hutopata shida hyo tena
 
Wakuu habarini, naamini leo mtashindana kuivisha pilau maridadi zaidi

Wakuu hivi nini husababisha kizunguzungu na wakati mwingine nguvu za miguu kupotea?

Yaani iko hivi ninapofumba macho ngumu sana kupiga hatua tatu bila kwenda upande mmoja kama mlevi aliyezidiwa na ulabu,pia usiku ndio taabu tupu hasa njia ikiwa ni ndogo,hivi ushawahi fika mahali pana ngazi za kushuka chini halafu wewe usizione unajikuta unadunda kwa nguvu nusu uteguke miguu?

Hivi ndo inavyokuwa usiku sometime nikijifuta jasho kile kitendo cha kupitisha kitambaa mbele ya macho nikayafumba kwa sekunde tu tayari nishaenda zigzag

Nina miaka kibao na hili tatzo now nina miaka 24 naona linaninyima raha je ni nini chanzo
 
Tatizo la pressure lina mahusiano ya karibu na macho, kapime pamoja na kupata maelezo zaidi ya daktari.
Naamini hujachelewa mkuu. wakati mwingine tatizo hilo huwatokea watumia vega, kama hutumii kapime haraka.
 
Tatizo la pressure lina mahusiano ya karibu na macho, kapime pamoja na kupata maelezo zaidi ya daktari.
Naamini hujachelewa mkuu. wakati mwingine tatizo hilo huwatokea watumia vega, kama hutumii kapime haraka.
Aisee situmii vega,nashukutu mkuu itabidi nikachek presha
 
Back
Top Bottom